Nijuzeni: Ipi nzuri kati ya diploma ya law na procurement and supply

worms

JF-Expert Member
Jul 29, 2017
964
893
Habari ndugu zangu.

Nina mdogo wangu aliyemaliza form six aka-apply diploma ya Law na Procurement and supply katika vyuo viwili tofauti. Kote amechaguliwa, sasa nataka tumshauri

= ipi ni nzuri katika soko la ajira

= ipi ina opportunity nyingi kwamba anakuwa multiskilled kuweza fanya kazi za aina mbali mbali kirahisi.

= ipi yenye ahueni kimaisha ...kimapato etc.

Karibuni jamani mchangie. Tupo njia panda
 
Zote nzuri depending on ur needs. Fahamu kwnz wewe unataka nini. Angalia zaidi itakayokupa nafasi ya kujiajiri zaidi.
 
1. Soko la ajira ni gumu, so usilitegemee. Kwa Law unaweza ukajiendeleza mpk mwisho wa siku ukawa na law firm yko, ila procurement ni ngumu kdg kujiajir.

2. Kuwa multiskilled sidhani kma kunahusiana na kozi zote hizo mbili. Na kuwa multiskilled ni broad term.

3. Ahueni ya kimaisha na kimapato kunayegemea na michongo yko. Unaweza ukawa wakili mzuri au mwanasheria mzuri na ukapata dili nyingi. Yan wewe utakuwa na furaha watu wanapopata kesi. Kwenye procurement, omba Mungu upate shirika ambalo linaagiza sn vitu kutoka nje (kwa watu), ili ule 10%. Zaman maafisa ugavi walikuw wanakula sn 10%, ss hv Magu kabana.

Kiufupi ni kwmb angalia wewe mwenyewe unapenda nn..!! Usisome kitu kwa kuangalia hayo yote, ila fanya kitakachoweza kukupa muda mwingi ma uwezo wa kujiajiri. Soko la ajira ni gumu mkuu
 
1. Soko la ajira ni gumu, so usilitegemee. Kwa Law unaweza ukajiendeleza mpk mwisho wa siku ukawa na law firm yko, ila procurement ni ngumu kdg kujiajir.

2. Kuwa multiskilled sidhani kma kunahusiana na kozi zote hizo mbili. Na kuwa multiskilled ni broad term.

3. Ahueni ya kimaisha na kimapato kunayegemea na michongo yko. Unaweza ukawa wakili mzuri au mwanasheria mzuri na ukapata dili nyingi. Yan wewe utakuwa na furaha watu wanapopata kesi. Kwenye procurement, omba Mungu upate shirika ambalo linaagiza sn vitu kutoka nje (kwa watu), ili ule 10%. Zaman maafisa ugavi walikuw wanakula sn 10%, ss hv Magu kabana.

Kiufupi ni kwmb angalia wewe mwenyewe unapenda nn..!! Usisome kitu kwa kuangalia hayo yote, ila fanya kitakachoweza kukupa muda mwingi ma uwezo wa kujiajiri. Soko la ajira ni gumu mkuu
Nashukuru kwa mchango wako...

Kuwa multiskilled labda nilikosea lakini nilikuwa na maana mtu kuweza kuajirika nafasi nyingi za kazi kwa kozi uliyosomea...

Mfano Procurement and supply unaweza kuwa mhasibu katika shirika, unaweza ajiriwa benki pia unaweza kuwa afisa ugavi katika private ogarnizations na serikalini..

Kumbe kuwa na private firm yako kuna ngazi ya elimu inayotakiwa? Sikujua ! Je ni level gani, degree au masters?

Kusema kweli mimi nilimshauri achukue diploma ya procurement na niliona ni bora kuliko law.

Nashukuru kwa mchango wako
 
Back
Top Bottom