Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,446
- 16,301
Habarini wakuu, kuna mzee kanipigia kutoka maeneo yetu vijijini ndanindani kule, anaomba ushauri wa kupewa idea ya kijana wake akajiendeleze kwa kipi kwa matokeo aliyopata kidato cha nne mwaka jana.
Kijana ana division IV ya point 26 na hivi ndivyo ubao wa matokeo yake unavyosoma
Sasa katika pitapita zangu nikapata kozi zifuatazo ambazo anaweza kuapply kulingana na matokeo yake. Nachoomba wajuvi wa mambo nisaidieni kujua kozi ipi hapa ina uafadhali na haitamuangusha dogo pindi amalizapo, hata kama hataajiriwa lakini hatakosa japo vi-intern na volunteering za hapa na pale maana najua ajira kwa sasa ni mbombo ngafu.
1. Ordinary Diploma in Land Management Valuation.
2. Ordinary Diploma in Urban and Regional Planning.
3. Ordinary Diploma in Freight, Clearing and
Forwarding.
4. Ordinary Diploma in Logistics and Transport
Management.
5. Ordinary Diploma in Shipping and Port
Management.
6. Ordinary Diploma in Shipping and Logistics
Management.
7. Ordinary Diploma in International Relations and
Diplomacy.
8. Ordinary Diploma in Public Relation and Marketing.
9. Ordinary Diploma in Procurement and Supply.
10. Ordinary Diploma in Marketing.
11. Ordinary Diploma in Marketing Management.
12. Ordinary Diploma in Business Administration.
13. Ordinary Diploma in Accountancy.
14. Ordinary Diploma in Community Development.
15. Ordinary Diploma in Social Work.
16. Ordinary Diploma in Law.
NB: Kijana ni mtoto wa mkulima hana connections zozote na hajawahi kufika hata mjini
Kijana ana division IV ya point 26 na hivi ndivyo ubao wa matokeo yake unavyosoma
Civics-------------------->C
History------------------>D
Geography------------>D
Kiswahili--------------->B
English------------------>C
Biology------------------>F
B/Mathematics----->F
History------------------>D
Geography------------>D
Kiswahili--------------->B
English------------------>C
Biology------------------>F
B/Mathematics----->F
Sasa katika pitapita zangu nikapata kozi zifuatazo ambazo anaweza kuapply kulingana na matokeo yake. Nachoomba wajuvi wa mambo nisaidieni kujua kozi ipi hapa ina uafadhali na haitamuangusha dogo pindi amalizapo, hata kama hataajiriwa lakini hatakosa japo vi-intern na volunteering za hapa na pale maana najua ajira kwa sasa ni mbombo ngafu.
1. Ordinary Diploma in Land Management Valuation.
2. Ordinary Diploma in Urban and Regional Planning.
3. Ordinary Diploma in Freight, Clearing and
Forwarding.
4. Ordinary Diploma in Logistics and Transport
Management.
5. Ordinary Diploma in Shipping and Port
Management.
6. Ordinary Diploma in Shipping and Logistics
Management.
7. Ordinary Diploma in International Relations and
Diplomacy.
8. Ordinary Diploma in Public Relation and Marketing.
9. Ordinary Diploma in Procurement and Supply.
10. Ordinary Diploma in Marketing.
11. Ordinary Diploma in Marketing Management.
12. Ordinary Diploma in Business Administration.
13. Ordinary Diploma in Accountancy.
14. Ordinary Diploma in Community Development.
15. Ordinary Diploma in Social Work.
16. Ordinary Diploma in Law.
NB: Kijana ni mtoto wa mkulima hana connections zozote na hajawahi kufika hata mjini