G70
JF-Expert Member
- Jul 13, 2022
- 1,109
- 2,252
Baadhi ya wanaume ni wajinga sana
Wanaume hao hudhani kuwa wanahitaji wanawake tu kwa ajili ya ngono ila hawataki kuoa mwanamke asiye bikira.
Kwa kawaida hupewa ngono kwa ukarimu kutoka kwa wanawake wasio na waume lakini pia wapo wale walioolewa kama kina mama Kijacho.
Kando na hao, kuna wasichana wengi wasio na idadi ambao wanaume hao wajinga kuwapigia simu kwa lengo la kuwakodisha na kujirusha nao kwa muda mfupi kisha huwatelekeza na kurudi kutafuta msichana bikira wa kuoa.
Huo ndio ujinga wao maana hawataki kuoa mwanamke asiye bikira ila wapo na speed kutoboa bikira za wake watarajiwa wa wanaume wengine wengine
Niwaulize enyi wajinga mtapata wapi mwanamke bikira wa kuoa?
Mwenye jibu sahihi offer leo, hii ni offer ya leo tu.
Wanaume hao hudhani kuwa wanahitaji wanawake tu kwa ajili ya ngono ila hawataki kuoa mwanamke asiye bikira.
Kwa kawaida hupewa ngono kwa ukarimu kutoka kwa wanawake wasio na waume lakini pia wapo wale walioolewa kama kina mama Kijacho.
Kando na hao, kuna wasichana wengi wasio na idadi ambao wanaume hao wajinga kuwapigia simu kwa lengo la kuwakodisha na kujirusha nao kwa muda mfupi kisha huwatelekeza na kurudi kutafuta msichana bikira wa kuoa.
Huo ndio ujinga wao maana hawataki kuoa mwanamke asiye bikira ila wapo na speed kutoboa bikira za wake watarajiwa wa wanaume wengine wengine
Niwaulize enyi wajinga mtapata wapi mwanamke bikira wa kuoa?
Mwenye jibu sahihi offer leo, hii ni offer ya leo tu.