malkiory
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 270
- 24
Kama ilivyokuwa kwa rais wa Tanzania Jakaya Kikwete rais wa Nigeria Goodluck Jonadhan naye aingia mitini kwenye debate ya wagombea urais wa nchi hiyo. Inasemekana alitaka apewe maswali yatakayoulizwa in advance lakini waandaaji waligoma kufanya hivyo. Tunajifunza nini kutokana na watawala wetu hawa!
Tembelea hapa kutizama video ya debate ya wagombea urais wa Nigeria: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Tembelea hapa kutizama video ya debate ya wagombea urais wa Nigeria: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!