Magufuli effect
Mkuu hiyo lugumi ni mwamba haugusikiMagufuli effect ipi? Huyu wa Nigeria kaingia madarakani akapunguza mshahara wake kwa 50%, magufuli kuutaja mshahara wake tu anagwaya pamoja na kuahidi kuweka hadharani salary slip yake na mshahara wake wa milioni 400 hata sent moja ya kodi hakatwi. Mafisadi na majizi akina Lugumi, Escrow, IPTL, MV Ufisadi etc anawagwaya hata kuwataja hadharani kabaki kwebda kuwaonea wafanyakazi wadogo.
Ndege hizo ni aina ya Alcon 7x na Hawker 4000 ili kuokoa fedha za walipa kodi wa nchi hiyo
Mkuu hiyo lugumi ni mwamba haugusikiView attachment 412935
Mkuu hao ndio wanao ishi sisi wengine ni bora kupambazuke tuBila shaka wengi walishikishwa mshiko mnene ndiyo maana wanamuogopa maana anaweza kuwaanika hadharani wote waliochukua mshiko. Ukishafisadi Serikalini kula na walio jikoni ili wakulinde kwa hali na mali. Si unamuona Ruge Mkuu naye anapeta mtaani kwa raha zake hakuna wa kumgusa maana alitembeza mshiko mnene mpaka ndani ya Ikulu.
Mimi ni mshamba mkuu hii figure ni annual salary or monthly?Magufuli effect ipi? Huyu wa Nigeria kaingia madarakani akapunguza mshahara wake kwa 50%, magufuli kuutaja mshahara wake tu anagwaya pamoja na kuahidi kuweka hadharani salary slip yake na mshahara wake wa milioni 400 hata sent moja ya kodi hakatwi. Mafisadi na majizi akina Lugumi, Escrow, IPTL, MV Ufisadi etc anawagwaya hata kuwataja hadharani kabaki kwebda kuwaonea wafanyakazi wadogo.
Auze naye angalau zile BMWs za kifahari za Ikulu.Magufuli effect
Mimi ni mshamba mkuu hii figure ni annual salary or monthly?
Every calendar month!Mimi ni mshamba mkuu hii figure ni annual salary or monthly?
Every calendar month!Mimi ni mshamba mkuu hii figure ni annual salary or monthly?
MAGUFULI EFFECT KIVP.....WEE,HIVI ILR NDEGE ILIYONUNULIWA TUKAMBIWA HATA NYASI TUTAKULA MLIIUZAA SKREPA AU?Magufuli effect
Zanini zote. Matumizi mabaya ya pesa za wananchi aiseeNi Falcon sio Alcon.
Bado rais kabaki na ndege 8. Zilikuwa 10.
Labda...lakini kwa poverty mentality aliyonayo, I doubt it...kwani he is having a once in his lifetime experience kuendeshwa ndani ya 730Li na 745Li.Labda wakati wa kuhamia idodomya