Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
Mwanamke wa Nigeria Obinuju Anthonia Ibeanu, amejifungua watoto 9 baada ya miaka 25 ya ndoa.
Ripoti zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zilifichua kuwa mwanamke huyo alikuwa ameolewa kwa zaidi ya miongo miwili lakini hakubahatika kupata mtoto katika kipindi chote hicho.
Kwa bahati nzuri, alijaliwa watoto 9 wa kufidia miaka yote ambayo hakuwa na mtoto wa kumwita wake.
Picha zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zinamuonyesha Bi Ibeanu akiwa ameketi pembeni ya kitanda ambacho kilikuwa kimebeba watoto wake tisa.
The Evangelist