Nigeria: Mwanamke ajifungua watoto 9 baada ya miaka 25 ya ndoa bila mtoto

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,331
33,141
Woman Gives Birth To Nonuplets After 25 years Of Waiting.jpg


Mwanamke wa Nigeria Obinuju Anthonia Ibeanu, amejifungua watoto 9 baada ya miaka 25 ya ndoa.

Ripoti zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zilifichua kuwa mwanamke huyo alikuwa ameolewa kwa zaidi ya miongo miwili lakini hakubahatika kupata mtoto katika kipindi chote hicho.

Kwa bahati nzuri, alijaliwa watoto 9 wa kufidia miaka yote ambayo hakuwa na mtoto wa kumwita wake.

Picha zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zinamuonyesha Bi Ibeanu akiwa ameketi pembeni ya kitanda ambacho kilikuwa kimebeba watoto wake tisa.

The Evangelist
 
View attachment 2794142

Mwanamke wa Nigeria Obinuju Anthonia Ibeanu, amejifungua watoto 9 baada ya miaka 25 ya ndoa.

Ripoti zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zilifichua kuwa mwanamke huyo alikuwa ameolewa kwa zaidi ya miongo miwili lakini hakubahatika kupata mtoto katika kipindi chote hicho.

Kwa bahati nzuri, alijaliwa watoto 9 wa kufidia miaka yote ambayo hakuwa na mtoto wa kumwita wake.

Picha zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zinamuonyesha Bi Ibeanu akiwa ameketi pembeni ya kitanda ambacho kilikuwa kimebeba watoto wake tisa.

The Evangelist
Hii inaitwa jiwe moja kwa ndege 9
 
Hii habari ya uongo kila Mwaka inageuka Mpya .. acheni Ungese kama hamna vya kureport JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom