Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,924
- 3,951
Hivi unajua kupigana na mtu ambaye yeye haogopi kifo na anaamini akifa vitan anakufa shahidi ni ngum sana? Yaan ww unapigana lkn unaogopa kufa lkn yeye hajali kama akifa Ana amin anaenda peponi na akikuua pia ana amin anaenda pepon, kiufupi hana cha kupoteza .mtu wa hivi sio wa kupigana nae