sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 3,321
- 7,629
Ndugu zangu,
Majibu yenu hapa yatanipa mwanga wa kuweza kuamua nifungue duka lipi kwa ajili ya nguo za wanawake tu au nifungue duka kwa ajili nguo za wanaume au nifanye vyote kwa pamoja kwenye duka moja sitaki kuwamba hela au kuwakopa hela, naomba mawazo yenu ndugu zangu ili niweze kupata hela.
Majibu yenu hapa yatanipa mwanga wa kuweza kuamua nifungue duka lipi kwa ajili ya nguo za wanawake tu au nifungue duka kwa ajili nguo za wanaume au nifanye vyote kwa pamoja kwenye duka moja sitaki kuwamba hela au kuwakopa hela, naomba mawazo yenu ndugu zangu ili niweze kupata hela.