Nifundisheni Kumpenda

Angekuwa na pesa usingemsumbua huyo ila shida ni hali yake ya uchumi..... Sisemi umuwezeshe mtaji wanaume muda mwingine wanafanana na kondoo kumbe chui.... Omba mungu ukubali hali yake basi
 
1.acha dharau na kumuona kama mtoto mdogo hyo keshakuwa mtu mama
2.weka kwenye akili yko kwamba hyo ndo your future itakusaidia kupunguza sharia
3.weka mipango sawa ili awe na mishe ya Uganda
N.B wasukuma na wahaya huwa wako serious kwenye mahusiano sio kama wanaume wa dar ambao kwao kumuacha mwanamke n suala la dakika
 
Sawa asante nitaufanyia kazi
 
Sawa
 
Asante sana ubarikiwe
 
Bado hatuja jaribu
Unasubiri nn kumpa kitumbua chako?. Da natamani jamaa yako ndiyo angeleta Uzi humu tumshauri aachie ngazi kwako. alianza kukufuata hukumpenda, ukawa na mwingine akakumimba. Jamaa kazingua mmeanza tena mahusiano lakini mpaka sasa hujampa papuchi!! Hapo mkioona unajitafutia tu lawama za michepuko. Na Ninaamini akija mwanaume mwingine tena unaye mfeel unaweza mpa papuchi kabla yake.
 
Katika vitu nimejaribu nimeshindwa ni kuwa kwa mahusiano na mtu anayenipenda halafu mimi simpendi,

I swear nilishashindwa kupretend, kwanza naweza kuwa naye and still nikajiona niko mpweke like I am still missing out something, akituma msg unaona kero, akipiga simu ndo hata hamu huna, akikuita jina zuri hauskii hata mchecheto wowote moyoni.!!

Hicho kifungo huru kitakusumbua sana, usiwe na mtu ambaye wewe mwenyewe moyoni mwako you are not proud of being with him/her..!!

Yeah, uta force kwa muda but as time passes by ukweli utajidhihirisha, utajikuta akifanya kosa kidogo unachefukwa hasaa,

Honestly, sikushauri uwe na mtu kwa kujipa moyo eti utajifunza kumpenda that's a big lie and stop being desperate, Hebu Lea kwanza mwanao kwa huu muda uliopo.!!
 
Umenivunja moyo jamani
Kwa jinsi ninavyoona huyo jamaa tayari unampenda na ameshakuingia moyoni. Inawezekana kabisa kumpenda mtu kama ukijenga mazingira ya kumzoea na urafiki. Mapenzi yanayojengwa kwenye urafiki uwa yanakuwa strong sana na urafiki unaweza kutengenezwa. Mkubali huyo mtu na pokea simu zake na jibu text zake na ikiwezekana mwambie unampenda kila siku na muanze wewe kuwasiliana

Ni bora uishi na mtu anyekupenda kuliko mtu asiyekupenda maana kupenda ni wajibu wa mwanaume na mwanamke wajibu wake mkuu kwenye mahusiano ni kutii. Wazazi wetu walikuwa wanachaguliwa wake au waume ambao walikuwa hata hawawajui lakini walikubali wakatengeneza mazingira ya kumpenda huyo aliyechaguliwa na wakaishi Maisha mazuri tu mpk tukazaliwa sisi.

Kuhusu kipato chake hilo ni suala la muda tu. Kuendelea kwake kusoma Zaidi inaonyesha ana dira nzuri ya Maisha yake kukuzidi hata wewe kwa kuwa ana elimu Zaidi.

Umeshazalishwa, ni ngumu sana kumpata mtu atakayekuoa ukiwa na mtoto (binafsi hata mimi sitakubali mtoto wangu aoe single mother sababu nazijua mwenyewe) hivyo huyo anayekupenda na kukufanya malikia mshike tena mshike haswa. Ni ngumu sana single mother kuolewa dunia ya sasa kama unabisha kuwa utayaona
 
Bahati mbaya ushauri nataka Mimi
 
Ngoja nianze zoezi
 
Hahahaaa bibie.....
Mapenzi hayana harufu wala rangi ili tuweze kukufundisha.
Hivyo tu ulivyojieleza inatosha kabisa kusema ushaanza kupenda
 
Hahahaaa bibie.....
Mapenzi hayana harufu wala rangi ili tuweze kukufundisha.
Hivyo tu ulivyojieleza inatosha kabisa kusema ushaanza kupenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…