Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

Kasema niffer kaoa na kamfungulia mumewe duka la simu na pia anadanganya watu kuwa ye supa wimen wakati ela ya mtaji kapewa na yahaya anaeishi south africa na adi leo yahaya akimtaka niffer anampata!🤣🤣🤣🤣

Khatare ,Oghopa aiseeee!! Mafanikio ya mtu kweli ni siri ,hata Shamim Zeze Mwasha 8020 fasheni na yeye alisema alianza na mtaji wa elfu 10 mpaka kuwa na ukwasi mkubwa kutembelea Vogue Autobiography kumbe behind the scene walikuwa wanauza NGADA na mmewe ,currently is behind bars serving life sentence.


 
Khatare ,Oghopa aiseeee!! Mafanikio ya mtu kweli ni siri ,hata Shamim Zeze Mwasha 8020 fasheni na yeye alisema alianza na mtaji wa elfu 10 mpaka kuwa na ukwasi mkubwa kutembelea Vogue Autobiography kumbe behind the scene walikuwa wanauza NGADA na mmewe ,currently is behind bars serving life sentence.
Shamim sitamsahau
Alikua ananifanya nijione kilaza sijui kusave ela
Anatuambia wiki hii ukisave elf 70 wiki ijayo weka 140k kumbe mwenzetu anachota tu za unga anaeka kwenye kibubu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Shamim sitamsahau
Alikua ananifanya nijione kilaza sijui kusave ela
Anatuambia wiki hii ukisave elf 70 wiki ijayo weka 140k kumbe mwenzetu anachota tu za unga anaeka kwenye kibubu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Za kuambiwa changanya na zako......Niffer aanze na mtaji wa elfu 40 mpaka kuwa Milionea hahaaa akawadanganye wauza ukwaju wenzake.
 
Za kuambiwa changanya na zako......Niffer aanze na mtaji wa elfu 40 mpaka kuwa Milionea hahaaa akawadanganye wauza ukwaju wenzake.
Tena mange kasema huyo yahaya akimtaka hata sasa anapiga tu
Kamwambia huyo mumewe kuwa ajiandae kisaikolojia niffer haez mchomolea yahaya🤣🤣🤣🤣 mana yahaya anauza sembe ana ela kama zote
 
Back
Top Bottom