Kuna mwanaume anaonesha kunipenda sana ila hisia zangu zinapotea kutokana na dini yake ye mwislam mi mkristu leo nimemwach anaonesha kuumia sana nifanyeje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwanaume anaonesha kunipenda sana ila hisia zangu zinapotea kutokana na dini yake ye mwislam mi mkristu leo nimemwach anaonesha kuumia sana nifanyeje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujawahi Yoana kuacha huku unapenda?Maajabu huwa hayaishi hakyanani
Wewe ndio umemuacha halafu unamuonea huruma?mrudie basi
Siyo kila thread lazima nikoment, ngoja nipite kimya.
Watu mnaendekeza hizi dini za kikoloni... yaani usiwe na hisia na mtu eti kisa dini yake!!!Kuna mwanaume anaonesha kunipenda sana ila hisia zangu zinapotea kutokana na dini yake ye mwislam mi mkristu leo nimemwach anaonesha kuumia sana nifanyeje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujawahi Yoana kuacha huku unapenda?
Badili dini kwa ajili yake, au kama huwezi mwambie hauko tayari kuwa nae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kuacha,huwa naachwa
Mapenzi ni ya watu wawili.Maajabu huwa hayaishi hakyanani
Wewe ndio umemuacha halafu unamuonea huruma?mrudie basi
HahahaSiyo kila thread lazima nikoment, ngoja nipite kimya.
kuna mahali ulisema viceversa Yohana kigeugeu wewe
Mapenzi ni ya watu wawili.
Ukristu na Uislam ni vya Emmanuel na Mohamed.
Sikumbuki, nikipaona nitakuita Yoana, hafu nimependa kajina kako ulishasoma kitabu kinaitwa The Pearl huko kuna Juana na Coyottito, you reminded me of JuanaWapi?