Nifanyeje psychological punishment kwa wife?

kipusy

JF-Expert Member
May 7, 2010
639
321
mke wangu ananikaidi sana maamuzi yangu. alienda kwao kumsaidia mama yake kazi fulani, alivyomaliza hakurudi mapema kama nilivyomuagiza, mpaka sikukuu ya xmass imepita ndio anakuja, nimemzuia asije tena mpaka nitakapo muita... lakini anakuja tu kinguvu... mama mkwe apokei simu yangu..... NIMUADHIBU VIPI???? HASA KISAIKOLOJIA????
 
tatizo kwenye mawasiliano yenu si mazuri yawezekana huna nguvu katika maamuzi yako kwake
 
atakuwa anaiba mara moja kwa miezi 3 nje
ajitahidi tu
hakuna adhabu kubwa kama hiyo
ss hapo na vice versa ni true.
mkewe nae awe anajiiba mara moja baada ya miez 3.
unadhan nn kitafuatia jaman.
 
Kukaa kimya na kujidai hakuna tatizo inaweza kuwa ni adhabu tosha lakini, kwanini umeamua kuchagua psychological punishment wakati zipo nyingine ambazo bado zitaendelea kuimarisha ndoa yenu?

Moja ni kukaa na kumwambia nje ndani namna unavyojisikia na anavyokufanya ujisikia vibaya, hii itawasaidia wote wawili kuliko kudhani kuwa unamwadhibu psychologically ilhali kwa upande mwingine ina madhara makubwa na ya kutisha kwako kuliko kwake.
 
mke wangu ananikaidi sana maamuzi yangu. alienda kwao kumsaidia mama yake kazi fulani, alivyomaliza hakurudi mapema kama nilivyomuagiza, mpaka sikukuu ya xmass imepita ndio anakuja, nimemzuia asije tena mpaka nitakapo muita... lakini anakuja tu kinguvu... mama mkwe apokei simu yangu..... NIMUADHIBU VIPI???? HASA KISAIKOLOJIA????
Funga nyumba tambaa na funguo
 
kama mume hagongi mzigo
hakuna mwanamke anayewaza kuiba
sanasana utamkuta kwa kakobe anaombewa

akiiba ujue alikuwa naye siku zote
ni mume mwenzie wa milele

ss hapo na vice versa ni true.
mkewe nae awe anajiiba mara moja baada ya miez 3.
unadhan nn kitafuatia jaman.
 
kama mume hagongi mzigo
hakuna mwanamke anayewaza kuiba
sanasana utamkuta kwa kakobe anaombewa

akiiba ujue alikuwa naye siku zote
ni mume mwenzie wa milele
ww mwaka mzima uko 2 kwa kakobe jaman hakunaga iyo.
labda wanawake wa enzi izooo, sahv na wao wanasubstitute jaman.
 
Mmh! Kazi kwelikweli. Je ni mara yake ya kwanza kukaidi? Kuna nini kwa mama mkwe mpaka agombee kufanya sherehe kule? Hapo kwako kuna mapungufu gani? Au kuna jamaa wa zamani walienda kukutana kule?
Mimi adhabu kubwa ninayompa mtu aliyefanya makosa ni kukata mawasiliano kabisa. Iwe simu au maongezi ya ana kwa ana. Kama anakupenda itamuumiza sana, ila kama hakupendi haitamsumbua. Uzuri wa kukaukiana ipo siku mtacheka tu.
 
huyo ameshakusoma, akakuangalia, akaona huwezi kumfanya lolote na huwezi kumkosa, kule kwa jamaa zetu wanasema amekupanda kichwani, yeye ndo anakuongoza wewe. usipoangalia atakufikisha pabaya,
kama mapenzi yangekuwa yanapimwa kwa mizani ule upande wa mke wako ungekuwa juu, yani hauna uzito kabisaaaaaaaa.
kwa kifupi huyo ana mume jina tu, jitihada inahitajika hapo.
 
Kama unataka adhabu nzuri ya kisaikolojia ishi maisha ana kwamba hakuna chochote kilichotokea, onyesha upendo kwake na wala usigusie kuwa kuna kosa amefanya, yaani iwe kama hakuna cha ajabu kilichotokea
 
mke wangu ananikaidi sana maamuzi yangu. alienda kwao kumsaidia mama yake kazi fulani, alivyomaliza hakurudi mapema kama nilivyomuagiza, mpaka sikukuu ya xmass imepita ndio anakuja, nimemzuia asije tena mpaka nitakapo muita... lakini anakuja tu kinguvu... mama mkwe apokei simu yangu..... NIMUADHIBU VIPI???? HASA KISAIKOLOJIA????


:frusty:problems are simply part of the curriculum that appear and fade away like algebra class but the lessons you learn will last a lifetime:behindsofa:
 
mke wangu ananikaidi sana maamuzi yangu. alienda kwao kumsaidia mama yake kazi fulani, alivyomaliza hakurudi mapema kama nilivyomuagiza, mpaka sikukuu ya xmass imepita ndio anakuja, nimemzuia asije tena mpaka nitakapo muita... lakini anakuja tu kinguvu... mama mkwe apokei simu yangu..... NIMUADHIBU VIPI???? HASA KISAIKOLOJIA????

kabla hujatafuta adhabu kaa chini tafakari hayo "maamuzi yako" anayokaidi? je yanakuwa win win situation? unatoa maamuzi ya kibabe? unamsikiliza anachotaka? ila ndani ya nyumba kuwe na amani lazima wote wawili mkubaliane. lakini mmoja anapokuwa ni muamuzi wa kila kitu matokeo yake ndo hayo.
mkeo amekwambia kwa nini "kapitiliza" siku? Fine wanaume mnasema nyie ndo vichwa, ndo waamuzi lakini siku zote nyumba yenye fuaraha na mafanikio huwa wanasikilizana,wanajadiliana, wanaacha umimi na kuweka "sisi". Kama kuna mbabe ajishushe la sivyo mtafarakana kila siku. Kumbuka mke si mtoto, ni mtu mzima mwenye akili timamu mwenye maamuzi yake ili muwe katika mstari ulionyooka lazima muwe mnakubaliana.

wewe na mkeo mkajitafakari kuna tatizo kubwa kati yenu.

:focus:

mnyime unyumba(ila ujue madhara yake..... usirudi jamvini unalia)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom