Wanaume nyie mkikamata mtoto kumpiga, munampiga hadi karibu kumuua. Nyie wanaume hasiri yenu ni wauwaji. Nyie hamjari awe mtoto wenu au wa mwenzenu, hamjari nyie munavunja tu mtoto. Fikirii baba ako akivokupiga pale utotoni, kama mama ako alikuwa haingilia kati. Wanawake wakati wote uwaami watoto wao wakipigwa na mume wao, haijarishi kazaa na wewe au na mwengine.
Na kuto mtaka kwako huyo mtoto, ndio sababu mkeo anahofia husimulie mwanae kwa wivu wako. Huyo mtoto hana kosa lolote kiumbe cha mungu, mwenye kosa baba ake na mama ake. Na wewe ilibidi umsapoti ako katoto kwa kukataliwa na baba ake. Ukifikiria baba ake hamtaki, na wewe haumtaki, ataenda wapi ? na ikiwa anaitaji upendo kutoka japo kwa mmoja wa wazazi wake ambae ndie mama ake ulie muoa wewe. Jamani kueni na huruma na viumbe vya mungu. Ukimtunza kwa amani na upendo, atakuona wewe ni mungu, na kumzarau baba ake. Fikiria future, kipindi umesha zeeka, na ako katoto kakawa bonge la tajiri, na akijua ukinyanyasa kwa sababu...., sura ako utaiweka wapi? mpende kama mtoto wako, muhurumie na kumcare vizuri, atakusaidia huyo baadae, ondoa wivu na ushangingi kwa yalio pita.