Nifanyeje ninawaowadai wanilipe hela zangu?

Nifanyeje ninawaowadai wanilipe hela zangu?

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,668
Habari za humu jukwaani

Tafadhali husika na kichwa cha habari. Kwa wataalam wa kudai madeni fedha nk, nifanyeje ili watu niliowakopesha wanilipe? Maana nimewaamini watu nikawakopesha kazi baada ya hapo simu zao hazipatikani. Nifanyeje?
 
Mkuu pole sana kwa kudai,

Nirudi kwenye mada,
hao watu unatakiwa uwa black-mail kwa mfano;

unaweza ukawavizia chooni wakijisaidia au bafuni wakioga unawapiga picha na unakaa nayo

Siku yoyote unamtumia mmoja wapo picha hiyo kwenye whatsup yake na kumwambia akulipe pesa yako laa sivyo utaisambaza kwenye "sosho midia"

Just jocking!
 
Mkuu pole sana kwa kudai,

Nirudi kwenye mada,
hao watu unatakiwa uwa black-mail kwa mfano;

unaweza ukawavizia chooni wakijisaidia au bafuni wakioga unawapiga picha na unakaa nayo

Siku yoyote unamtumia mmoja wapo picha hiyo kwenye whatsup yake na kumwambia akulipe pesa yako laa sivyo utaisambaza kwenye "sosho midia"

Just jocking!
Haaaah
 
Habari za humu jukwaani

Tafadhali husika na kichwa cha habari. Kwa wataalam wa kudai madeni fedha nk, nifanyeje ili watu niliowakopesha wanilipe? Maana nimewaamini watu nikawakopesha kazi baada ya hapo simu zao hazipatikani. Nifanyeje?
Samehe Utapata Maradufu!
Nashudiwa Unaumia sana Kiroho na kimwili!
Ni saw na kunywa sumu afe unae media!
 
Hivi si kuna yale makampuni ya kudai mikopo sugu...
 
kama unauweza umwamba, tembea na panga tu .. kila unaekutana nae piga ubapa wa shingo utakuja kunishukuru .. #ILANI YA CHAMA CHA MABAARIA TANZANIA (CHACHAMATA)
 
Mkuu pole sana kwa kudai,

Nirudi kwenye mada,
hao watu unatakiwa uwa black-mail kwa mfano;

unaweza ukawavizia chooni wakijisaidia au bafuni wakioga unawapiga picha na unakaa nayo

Siku yoyote unamtumia mmoja wapo picha hiyo kwenye whatsup yake na kumwambia akulipe pesa yako laa sivyo utaisambaza kwenye "sosho midia"

Just jocking!

Mimi ukinifanyia hivi, nawahi polisi kujidifendi
 
Kama una ushahidi peleka polisi.


Watu siku hizi sijui wakoje mimi niliamua kusamehe tu maisha yasonge nimepata somo pia binadamu wa sasa ni balaa.
 
Habari za humu jukwaani

Tafadhali husika na kichwa cha habari. Kwa wataalam wa kudai madeni fedha nk, nifanyeje ili watu niliowakopesha wanilipe? Maana nimewaamini watu nikawakopesha kazi baada ya hapo simu zao hazipatikani. Nifanyeje?
Wakopeshe tena
 
Kama una ushahidi peleka polisi.


Watu siku hizi sijui wakoje mimi niliamua kusamehe tu maisha yasonge nimepata somo pia binadamu wa sasa ni balaa.
Tatizo kesi za madai hazimfungi mtu, mtawanufaisha tu hawa askari njaa.

Kopesha kiwango ambacho hata kisipolipwa huwezi kuumia.

Ngoja niwape mfano mzuri.

Kukopeshana kumevunja undugu na urafiki wa watu wengi sana, kuna muda anakuja mtu kumnyima unashindwa, akisuasua kulipa ndio matatizo yanaanza.

Fanya hivi kabla hujakopesha mtu yeyote, mchunguze kama ni mtu unaedhani anaweza kukulipa kwa kuangalia shughuli anazofanya ujipe majibu kweli huyu jamaa au huyu dada ataweza kweli kulipa au ndio tutakuja kusumbuana na kupelekea kuvunja urafiki.

Kama unaona haeleweki tumia njia hii

kama anataka mkopo wa laki tatu, mpe 20000 mwambie akatafute kwingine za kuongezea huyu ni yule mtu ambaye unaona kabisa huwezi kumnyima.
 
Habari za humu jukwaani

Tafadhali husika na kichwa cha habari. Kwa wataalam wa kudai madeni fedha nk, nifanyeje ili watu niliowakopesha wanilipe? Maana nimewaamini watu nikawakopesha kazi baada ya hapo simu zao hazipatikani. Nifanyeje?


Rich dad's principle

Kopesha kiasi ambacho upo radhi kukipoteza ( you can afford to loose). Also vice versa is true.
 
Mkuu, huu uzi kama umenifungulia mimi kuna watu nawadai wananiona bwege, sasa bac nimejipa muda wa kujaribu kusamehe ila nikishindwa nataka nilipe kisasi.
 
Habari za humu jukwaani

Tafadhali husika na kichwa cha habari. Kwa wataalam wa kudai madeni fedha nk, nifanyeje ili watu niliowakopesha wanilipe? Maana nimewaamini watu nikawakopesha kazi baada ya hapo simu zao hazipatikani. Nifanyeje?
Watangazie riba ya 5% kila mwezi. Najua ni vigumu wengine ndugu zako. Ila ujanja ni kuwasumbua kama vile moto unawaka kupitia ndugu/marafiki zao kama wanazima simu. Piga kelele kubwa kama vile kuna uhalifu wamefanya na usipumzike hadi iwe kero kubwa itabidi wakope wakulipe. Acha upole na huruma kabisa kuhusu hili.
 
Sawa, usifanye makosa tena ifikapo Oktoba 28. Sawa sawa?
 

Attachments

  • Mitano ya Jiwe Yatosha.jpg
    Mitano ya Jiwe Yatosha.jpg
    127.4 KB · Views: 13
Back
Top Bottom