Naomba kupewa maelezo ya kina! Hivi inawezekana kupewa mkpo na tasisi za fedha kwa dhamana ya biashara ya salloon ya kunyoa il niongeze mtaji.?Najua mabenki wanataka dhamana ya nyumba ,kiwanja nk je kama vyote hivyo sina ila nina biashara ya sallon inayoingiza laki bili kwa wiki bado sikppesheki!