Nyox official
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 597
- 451
Fact mkuu wanguLakin ukiangalia kwa jicho la kipembuzi sana n kama vile ulikuwa hataki saaana aweke maendeleo kwao.
Kumbuka kwao ndo kuna wazaz waliomsomesha na kila kitu hd akapata na hyo kaz so cha msingi we mwache tu kwanza afanye mambo anayofanya ya kuwasaidia hao ndugu zake huenda mali zote za kwao alizimaliza yeye kipindi anasoma.
Unapoona anatoa hela kusaidia ndugu zake usiwe unaumia roho.
Sent using Jamii Forums mobile app