bishankara
Senior Member
- Feb 21, 2012
- 140
- 8
Jamani ninaye mpenz wangu, nampenda sana na naamin na yy ananipenda pia. Najitahd kumpenda na kuwa mkweli na muwazi tena pasipokumsaliti ingawa mm na yeye tunaishi mbali kwa zaidi ya kilometa 1600. Nampenda sana. Je ni kitu gan naweza fanya ili abaki kuwa wangu wa maisha?