Nifanyeje kuhusu huyu mwanaume

Nifanyeje kuhusu huyu mwanaume

Sasa wewe ulipomblock ulitegemea akae kukusubilia kama Yesu kuwa ipo siku utarudi?
 
Mapenzi buana hahaaa
Yameisha saizi text zote nilizomtumia kajibu nampenda sana mume wangu nae ananipenda nilitaka niwaone wanoko humu ndani wanaogombanisha mahusihano ya watu!
Haya
 
Mwananchi unajibu swali kwa swali. Keshaghairi naona kaminimize uzi.

Habari zako za siku nyingi sana mkuu! Hongera kwa kusoma namba
Do you love him or not? Unampenda au haumpendi?

Kama unampenda kwa nini umetuandikia uliyotuandikia!

Kama haumpendi kwa nini unaonesha kujali!
 
Tatizo wanawake wanadhani wakizalishwa ndo passport ya kuolewa. Hiyo ni kama kwenda tuition ili ufaulu mtihani,.
 
Mwananchi unajibu swali kwa swali. Keshaghairi naona kaminimize uzi.

Habari zako za siku nyingi sana mkuu! Hongera kwa kusoma namba
Hahah hayo maswali ya kumsaidia, ikiwa akiweza kujibu kiufasaha atajua atakacho...

Habari ni nzuri tu, bila shaka nawe pia...sasa hivi nazisoma upside down baada ya kuzimaliza zikiwa upright...
 
Yameisha saizi text zote nilizomtumia kajibu nampenda sana mume wangu nae ananipenda nilitaka niwaone wanoko humu ndani wanaogombanisha mahusihano ya watu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeeh kazi kwenu mliompa ushauri huyu anaewaza kwa moyo
 
Namshukuru Mola na mie nimevumbua namba mpya ambazo sio za kirumi ila zinasomeka sawia.

Keshajisaidia mdau, hana neno tena. Kuwa mpole kaka. Uwe na wikiendi murua.
Hahah hayo maswali ya kumsaidia, ikiwa akiweza kujibu kiufasaha atajua atakacho...

Habari ni nzuri tu, bila shaka nawe pia...sasa hivi nazisoma upside down baada ya kuzimaliza zikiwa upright...
 
Nilichokiona kwa haraka mtoa maada anawakilisha aina fulani hivi za wanawake ambao hawana msimamo na hawajielewi na atachezewa sana.
Ova... Povu ruksa
 
Back
Top Bottom