Barieda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 1,811
- 2,483
Huo mfano wako unakera wengine mkuu.Sasa wewe ulipomblock ulitegemea akae kukusubilia kama Yesu kuwa ipo siku utarudi?
Huo mfano wako unakera wengine mkuu.Sasa wewe ulipomblock ulitegemea akae kukusubilia kama Yesu kuwa ipo siku utarudi?
We unashangaa kuchezewa mbona kawaida sana hata mi napenda sana icho kitu kinanipaga raha sana.wanaume wenyewe mpo wachache kwaiyo wengine lazima tuchezew wengine tuwape nafasi ya kuolewaNilichokiona kwa haraka mtoa maada anawakilisha aina fulani hivi za wanawake ambao hawana msimamo na hawajielewi na atachezewa sana.
Ova... Povu ruksa
Haha sawa dada upo vzur hutaki stress na maishaWe unashangaa kuchezewa mbona kawaida sana hata mi napenda sana icho kitu kinanipaga raha sana.wanaume wenyewe mpo wachache kwaiyo wengine lazima tuchezew wengine tuwape nafasi ya kuolewa
SwadaktaaWewe ni mwanamke mpumbavu....
That's it.
Haufai kushauriwa, kwasababu hauna uwezo wa kujisimamia na pengine haujui nini ukitakacho.
Bahati mbaya yako, haujui kwamba kuzaa nawanaume ambae sio mume wako sio ulemavu
Masikini ya Mungu wee!Yameisha saizi text zote nilizomtumia kajibu nampenda sana mume wangu nae ananipenda nilitaka niwaone wanoko humu ndani wanaogombanisha mahusihano ya watu!
...Uwe na wikiendi murua.
Naona amejaribu ufuta uzi ameshindwaPole mrembo uko wapi
Mchanie msamba kama amber
Umeandika ukweli.kabsaUkiona amekutelekeza na una mtoto wake, ni muda wa kujitafakari.
Hasa kama hana hulka ya uhuni, basi utakuwa na mapungufu kwake. Mwanaume akichukia jambo huwa harudi nyuma na hawezi kuishi na jambo ambalo anajua litamtesa maisha yake yote.
Amini, huna nafasi kwake kabisa. Anaogopa kukueleza tu.
Fact upo sahihi ntakuj kwako bas sawa!Umeandika ukweli.kabsa
Karbu mlango upo waziFact upo sahihi ntakuj kwako bas sawa!
Karbu mlango upo waziFact upo sahihi ntakuj kwako bas sawa!
Very true [emoji119]Ukiona amekutelekeza na una mtoto wake, ni muda wa kujitafakari.
Hasa kama hana hulka ya uhuni, basi utakuwa na mapungufu kwake. Mwanaume akichukia jambo huwa harudi nyuma na hawezi kuishi na jambo ambalo anajua litamtesa maisha yake yote.
Amini, huna nafasi kwake kabisa. Anaogopa kukueleza tu.
Nawashangaa mnaoendelea kuleta comment hapa nimewaambia mambo yameisha bado tu mnatuma tuma message mna matatizo gani?Very true [emoji119]
Nimewaambia mambo yameisha? HamsikiiKarbu mlango upo wazi