Nifanyeje jina la cheti cha kifo lifanane na lililopo kwenye vyeti vyangu?

UNEMPLOYYED

Senior Member
Jan 29, 2017
116
47
Mimi ni kijana niliyehitimu kidato cha sita, 2016. Nilifanikiwa kusomeshwa na bibi na mama,,
Sasa nilitumia jina la Mjomba kuandikisha shule toka awali had form six,

Mzee Wangu alifariki nikiwa mdogo sana one month after birth,
Sasa nashindwa kukata cheti cha kifo cha mzee na naisi cheti cha kuzaliwa change,na cha kifo vitakuwa tofauti na majina niliyondikisha shuleni.

JE HESLB wanaweza kuninyima mkopo kisa cheti cha kuzaliwa ni tofauti na majina niliyoandikisha shuleni ya Mjomba wangu????

Msaada wakubwa
 
Naenda utapata karatasi za uthibitisho wa kifo, ila hapo lazima umuandike mjomba wako km amekufa ili jina lifanane. Usiwaze sana kawaida kudanganya kwenye maslai ya MTU.
 
Mimi ni kijana niliyehitimu kidato cha sita, 2016. Nilifanikiwa kusomeshwa na bibi na mama,,
Sasa nilitumia jina la Mjomba kuandikisha shule toka awali had form six,

Mzee Wangu alifariki nikiwa mdogo sana one month after birth,
Sasa nashindwa kukata cheti cha kifo cha mzee na naisi cheti cha kuzaliwa change,na cha kifo vitakuwa tofauti na majina niliyondikisha shuleni.

JE HESLB wanaweza kuninyima mkopo kisa cheti cha kuzaliwa ni tofauti na majina niliyoandikisha shuleni ya Mjomba wangu????

Msaada wakubwa
Kukusaidia nenda mahakamani au kwa wakili akutengenezee kitu kinaitwa Deed Pol halafu hiyo nyaraka utaipeleka kwa msajili wa Nyaraka pale wizara ya ardhi. Na kuisajili nyaraka yako itakuwa ni elfu 80 kama sikosee. Halafu baada ya hapo unaweza kuendelea na mambo mengine mradi kila hatua uwe unaambatanisha hiyo document yako ambayo kisheria inahesabiwa ni halali
 
Back
Top Bottom