Nifanyeje jamani!!!!!

Terimu

Member
Jun 1, 2011
36
37
Nina umri wa miaka 30 na mume wangu ana miaka 49, tangu mwaka huu mwezi wa sita amekuwa na tatizo la kutosimamisha uume wake, yaani nashindwa hata kuelewa kwa nini, au ni sababu ya umri? madaktari nisaidieni!
 
Umekosea jukwaa Terimu,
ilibidi uliweke kwenye jukwaa la JF Doctors!!!

 
Nina umri wa miaka 30 na mume wangu ana miaka 49, tangu mwaka huu mwezi wa sita amekuwa na tatizo la kutosimamisha uume wake, yaani nashindwa hata kuelewa kwa nini, au ni sababu ya umri? madaktari nisaidieni!

Umri si tatizo maana hata wanaume wenye umri mkubwa zaidi ya huo hawana tatizo hilo, labda ana matatizo ya kiafya yanayosababisha hali hiyo. Waoneni wataalam katika mambo kama haya labda wanaweza kumsaidia. Pole sana.
 
Waombe MOD's waihamishe hii
thread jukwaa la JF doctor .. your more
likely to get anwers over there.. all the best .
 
Asanteni sana, tutazidi kuwatembelea madaktari, ingawa tunapata majibu tofauti, hivyo inazidi kutuchanganya! nani anaweza kutushauri the best dr, tunaishi Dsm!
 
Pole sana dada, nahsi ni jinsigani unapata shida, na mumeo nae pia. Muomben mungu huku mkizidi kutafuta ufumbuzi wa tatizo lenu.
 
Pole sana mdada mtegemee Mungu pekee ndo atakuwa jibu peke yake
 
Nakupongeza kwa ujasiri wako tu wakutafuta ushauri,big up kwa hilo,kwa umri wako wengi wangekimbilia kuvunja ndoa au kutoka nje ya ndoa!jaribu kuwaona madaktari watakupatia ufumbuzi wa hilo.
 
Sababu 9 muhimu zinazo sababisha upungufu wa nguvu za kiume
Zipo sababu nyingi zinazosababisha wanaume kupungua nguvu za kiume katika hizo ni hizi zifuatazo:
1.ubugiaji wa tumbaku .
2.uvutaji wa sigara.
3.utafunaji wa mirungi.
4.unywaji wa pombe.
5.kupooza kwa mwili kunakosababishwa na maradhi.
6.ugonjwa wa kisukari.
7.kujisaidia kwa njia ya mkono. (Punyeto)
8.kuwa na mawazo kupita kiasi.
9.kufanya kazi ngumu.

TIBA YAKE:
chukua mbegu za tikiti maji zikaange halafu zitwange ili zitoe unga, chukua juici ya kitunguu thaumu lita moja na asali lita moja changanya pamoja juisi ya kitunguu thaumu na asali weka na vijiko kumi vikubwa vya unga wa tikiti maji koroga vizuri na uwe unakunya dawa hii kikombe kimoja cha kahawa mara tatu kila siku kwa muda wa wiki moja.

Chanzo: Mzizimkavu

800px-Watermelons.jpg



Au tumia hii Dawa itamsaidia mume wako

Ukosefu wa nguvu za kiume [Uhanithi]{IMPOTENCE}

Asali ina historia ndefu ya kuamsha uume pamoja na kuwa dawa madhubuti ya kuponyesha uhanithi.
Kutokana na uwezo wake kama kiamshaji/chaji, asali ilipigwa marufuku kwa makasisi katika baadhi ya

dini za kimashariki mwa Dunia. Mwaka jana, watafiti wa kiaustralia waligundua kwamba asali ina uwezo
wa kupeleka mwili kutoa homoni mbalimbali kama ilivyo kwa mdalasini, katika Africa na dunia ya

kusini, mabaharia wamekuwa wakipaka asali katika sehemu zao za nje ya uume ili kuongeza stamina zao
za kufanya mapenzi. MATUMIZI YA ASALI KAMA DAWA YA KUTIBU NGUVU ZA KIUME.

Pata Asali mbichi ya nyuki, Tangawizi kavu na pilipili Mtama, Asali kipimo nusu kilo,Tangawizi kavu Gramu 50 na pilipili Mtama Gramu 50 Twanga pamoja kisha chekecha upate unga wake changanya na Asali mbichi ya nyuki kula kila siku kijiko kimoja kutwa mara 3 kabla ya kula kitu Asubuhi,Mchana,na usiku. Muhimu hakikisha mpaka umalize Dawa kutumia ndio waweza kukutana na mke wako kimapenzi basi Nguvu zako za kiume zitarudi na utakuwa na nguvu kwenye mechi yako na mke wako. Ukitaka uwe na nguvu zaidi wasiliana na mimi kwa Private message nitaweza kukusaidia zaidi.

Please give me a Feedback P.h.D. Mzizimkavu

 
ndio mmeshauri dawa, je jinsi yakumpa uyo mzee iyo dawa hamjamshauri!
 
Back
Top Bottom