Nifanyeje ili niwe na furaha?

Nifanyeje ili niwe na furaha?

Kaa mbali na matatizo ya watu wengine, Jali matatizo/mambo yako tu.
Dunia ni tamu sana kama utaweka kando matatizo yasiyokuhusu.
 
mkuu orodha ya wadaiwa sugu umeangalia nayo isije ikawa source any way natania happyness is a choice and not a result 2be hppy u have 2 choose to be hppy bcz it does nt cost u anything kupanga ni kuchagua

This is the best comment/advice. Choose to be happy, nobody or nothing whatsoever is responsible for your comfort. Happiness is a choice..
 
Jaribu kufanya vile vitu unavyopenda furaha itarejea kama mwanzoni.Ukiona hiyo njia haifanyi kazi tafuta dildo maana najua kinachokupa mawazo n mapenzi ya dume suruali.
 
Okoka utakuwa na furaha hata kama utakuwa na changamoto ya aina gani. Hiyo hali huwapata watu wengi bila kujali muonekano wao wa nje. Huwa inatokeaje, ni kuwa wakati ukiwa unasoma shule, unatamani umalize upate cheti, ukipata cheti unatamani upate kazi, ukipata kazi unatamani kuoa/kuolewa, ukioa/kuolewa unatamani upate watoto, ukipata watoto unatamani upate maisha mazuri nyumba nk, Mungu akikupa bado unatamani upate furaha. Maana furaha ya kweli haipatikani katika hivo vitu vyote.
Ndio maana in Economics tunasema human wants are unlimited
 
Back
Top Bottom