Nifanyeje ili niwe na furaha?

Nifanyeje ili niwe na furaha?

Okoka utakuwa na furaha hata kama utakuwa na changamoto ya aina gani. Hiyo hali huwapata watu wengi bila kujali muonekano wao wa nje. Huwa inatokeaje, ni kuwa wakati ukiwa unasoma shule, unatamani umalize upate cheti, ukipata cheti unatamani upate kazi, ukipata kazi unatamani kuoa/kuolewa, ukioa/kuolewa unatamani upate watoto, ukipata watoto unatamani upate maisha mazuri nyumba nk, Mungu akikupa bado unatamani upate furaha. Maana furaha ya kweli haipatikani katika hivo vitu vyote.
 
Okoka utakuwa na furaha hata kama utakuwa na changamoto ya aina gani. Hiyo hali huwapata watu wengi bila kujali muonekano wao wa nje. Huwa inatokeaje, ni kuwa wakati ukiwa unasoma shule, unatamani umalize upate cheti, ukipata cheti unatamani upate kazi, ukipata kazi unatamani kuoa/kuolewa, ukioa/kuolewa unatamani upate watoto, ukipata watoto unatamani upate maisha mazuri nyumba nk, Mungu akikupa bado unatamani upate furaha. Maana furaha ya kweli haipatikani katika hivo vitu vyote.
Ahsante kwa ushauri wako mkuu,barikiwa.
 
Mungu ndio awe nguzo yako,epuka kukaa idol, upuka kukaa pekee yako muda mwingi, chukulia changamoto in a positive ways,Fanya mazoezi,hizi zote zikidunda basi muone psychologist
 
Back
Top Bottom