kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 2,880
- 7,210
Mnaokota wapi hizi type ? Au mnawaokota vilabuni mtu ananunuliwa chibuku limoja tu anazungushwa nyuma ya kilabu na kuinamishwa ?
Haya yote ni kutaka cheaper!
Mkuu bora uwe selective uwe na pic yako moja au mbili zenye kueleweka kuliko kujikuta kidume kumbe unaokota makwasukwasu tu huko mtaani ! Afya ni yako jiwekee standards flan flan !
Kama uko karibu na huyo dada , jaribu kumsaidia kumpeleka /kumshauri akapate matibabu kwa doctor, hutapungukiwa kitu utakuwa umetoa sadaka tu ! Nadhani atakuwa na PID sugu
Haya yote ni kutaka cheaper!
Mkuu bora uwe selective uwe na pic yako moja au mbili zenye kueleweka kuliko kujikuta kidume kumbe unaokota makwasukwasu tu huko mtaani ! Afya ni yako jiwekee standards flan flan !
Kama uko karibu na huyo dada , jaribu kumsaidia kumpeleka /kumshauri akapate matibabu kwa doctor, hutapungukiwa kitu utakuwa umetoa sadaka tu ! Nadhani atakuwa na PID sugu