Tumia program ya VPN.Ila data zinatumika haraka sana.Mimi nimeacha kutumia siwezi kumuduTangu mtandao wa X kufungiwa, imekuwa ni shida sana kupata habari za muhimu kutoka Duniani.
Msaada kwa anayejua namna ya kupata access ya mtandao huo kwa sasa.
Ahsante.
Serikali yako sikivu ilipiga blockKuna muda nilidhani ni mimi peke yangu, hadi nimelazimika kuufuta kwenye simu yangu. Nilikuwa nikiona jumbe ziki pop up, nikitaka kusoma siwezi, nikaona mateso ya nini, niwe mpole, delete application ya X maisha yaende, nitafanyaje sasa nimenyimwa uhuru wa habari na wababe
Tangu mtandao wa X kufungiwa, imekuwa ni shida sana kupata habari za muhimu kutoka Duniani.
Msaada kwa anayejua namna ya kupata access ya mtandao huo kwa sasa.
Ahsante.
Hamia BurundiTangu mtandao wa X kufungiwa, imekuwa ni shida sana kupata habari za muhimu kutoka Duniani.
Msaada kwa anayejua namna ya kupata access ya mtandao huo kwa sasa.
Ahsante.
Kituko sasa, wao wanatumia huo mtandao wa X, mara kadhaa nimeona posti zao hasa President, ila nikitaka kufuatilia nakwama, ndio nikaona isiwe shida.Serikali yako sikivu ilipiga block