Nifanye nini katika hili?

Duuh kumbe mzeebaba huishi nae??
Mkuu ningekuwa naishi naye mimi si ningekuwa namlamba vitasa deyle
Unaoaje katika umri mdogo? Je wajua kwamba unatombewa?
Unajua mkuu hayo mambo siyaweki sana akilini ila now nimejua ukweli yapo maana hamna alichokuwa anakosa mkuu hamna alichotaka akakikosa inakuwaje mtu aseme anataka kuondoka hivihivi tu nimeamini kuna kitu alafu alipoenda kaenda kufanya kazi ambayo malipo hajui nimetulia nasubiria kuondoka tu
 
Umefunga mjadala
 
Nimepambana nalo gazeti mpaka nimelimaliza

Sjui wanawake wa namna hii wanatakaga nn

nakushauri usimuache,mpe likizo akatulize akili kwao baadae atakuwa sawa
Unamlaumu bure binti wa watu, imagine mume ana 25 mke wake atakuwa na umri gani. Wote watoto, story zao za kitoto sijaona la maana hata moja hapo
 
Pole mkuu πŸ˜„
 
Unamlaumu bure binti wa watu, imagine mume ana 25 mke wake atakuwa na umri gani. Wote watoto, story zao za kitoto sijaona la maana hata moja hapo
Wewe wa maana una nini la maana ambacho wengine wanaona nichamaana kwako maana hata wewe sio wa maana mwenyewe
 
Basi hapo pia ni janga aisee, kwa umri wenu ashki ziko juu, kukaa mbalimbali ni kutafuta majanga.
Mkuu haya mambo ya umri alafu sisi tunayaendekeza sana sana mimi binafsi nafanya kazi na mcroasia ana miaka 22 ameoa na ana watoto wawili haya mimi mkubwa kwake why nionekane mdogo
 
Toka uliposema hujaona la maana wewe ushajiona wa maana
Na kuhusu chai uliza kama nimepata mlo wa asubuhi umekariri chai wewe kunywa chai πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ninyi bado watoto inabidi mpaka mkue kwanza

Acha kumpapasa papasa ifumue haswa

Hicho kipochi nyau usikionee rehemu

Siju nyingine akiiwa amekasirika mburute kwichi kwich nzito ya maana


Ukimaliza mpe nauli aende

Akiomba nauli omba kipapio umwambie niage kabisa

Kama hujui penzi utaumia sana lkn hivyo ndivyo penzi linapaswa liwe

Huyu. Akipata mzee wa umri haki humpati tena

Mapenzi ni drama

Bila. Drama kwishinia
 
Kwishaaaaah ni bardiii enyeweee mkuu nimenyaka maneno mkuu shukrani
 
Mkuu haya mambo ya umri alafu sisi tunayaendekeza sana sana mimi binafsi nafanya kazi na mcroasia ana miaka 22 ameoa na ana watoto wawili haya mimi mkubwa kwake why nionekane mdogo
Kijana mwenye miaka 20-30 huwezi mfananisha na mzee wa miaka 45 mkuu.

Huo ndo ukweli, wewe unaweza kuvumilia ipwiru na mitego, mkeo anaweza??
 
Mna miaka mingapi. Naona ni utoto mwingi anyways mkikua mtaa cha. πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…