Nifanye nini ili niache kubet?

Kweli mkuu kwasababu mm sinywi pombe siendi klabu nachopenda ni kubet na watoto wazuri basi
 
Kusitishwa itakuwa ngumu kwasababu ata ikisitishwa tanzania mm uwa nabet kwa makampuni ya ulaya naweka dola na pia inalipa kodi kubwa sana
 
Betia kodi ya Nyumba au ada ya mwanao ikiwa huna nyingine ukiliwa utaacha
 
kika ukitaka kubeti ingia jf utajikuta umeacha kubet.
2. washa kiberiti cha gesi halafu kila ukitaka kwenda kubet jiunguze iwapo huta hisi uchungu toka nenda kabeti , ukihisi uchungu usiende kubeti
Huku naingia kabla ata bet aijaja
 
Mimi nakuelewa,kuna wengine hawatakuelewa. Kwa kifupi betting addiction is real. Kuna addiction za computer games pia. Naona vijana wa kizazi cha sasa wahkipata hilo tatizo, serikali iweke mkakati wa kukabiliana na hili tatizo, ikiwemo kuanzisha vituo vya kuwasaidia addicts kujirekebisha tabia zao.

Tafuta mtu unayemheshimu na anayeweza kukusikiliza na kutunza siri ya tatizo lako. Nenda karipoti kwake kila siku/wiki ukimuelezea kama umeweza kukaa bila kubet au la. Huyu mtu anaitwa sponsor.
 
Asante mkuu
 
Sasa mkuu nawewe utaishije mjini endapo huu mchezo ukipigwa kufuri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…