Kweli naona jukwaa mmelichoka kabisa.
MMU sio mahala salama tena wala pakueleza matatzio yako.!
Walikuwa wanaburudishana wote hao, embu jenga picha miaka 8 mnagegedana tu bila ndoa, sidhani kama hata wewe unaweza kufika miaka yote hiyo bila kujua status ya uhusiano wenuHuyo mwanaume alikuwa anatafuta sababu tu.....alikufanya kiburudisho chake.Hainiingia akilini ndani ya miez 3 katongoza,kakubaliwa,kapeleka posa,mahari na ndoa juu!!!
Sijui kwanini akili yangu inafikiria kuwa ulikuwa kiburudisho.
ushauri hadi uweje?
Walikuwa wanaburudishana wote hao, embu jenga picha miaka 8 mnagegedana tu bila ndoa, sidhani kama hata wewe unaweza kufika miaka yote hiyo bila kujua status ya uhusiano wenu
da! haya mambo mi sitaki hata kuyasikia
habari zenu wana mmu
mimi nina tatizo sijajua ni wivu au kitu gani naombeni msaada hii ni story ya ukweli...
mimi nina shemeji yenu nampenda saaana na yeye ananipenda sana. sasa tatizo ni kwamba shemeji yenu ana mdogo wake wana undugu ila wa mbali kidogo ......na huyo mdogo wake ni wakike na wanaishi naye nyumba moja.
tukiongozana mimi shemeji yenu na mdogo wake anakuwa bizy sana na mdogo wake unakuta wanashikana mikono wanaongea ya kwao mengi tuu kwamba wao ndio wapenzi ,mi ananisahau kabisa ila tukiachana na mdogo wake tu anaanza kunifata na mie sasa ananishika ananambia vyote kuwa ananipenda sa nashindwa kuelewa huo ni wivu au msaada tafadhali kiushauri tu...
m najivunia kuwa na mume bora na mwema kwangu ndo nacho jivunia
Ni vigumu sana kumuepuka mbikiraji wako. take it from me darling.
Hivi babu mkeo halali ni nani?