Duh umeenda deep sana mkuu.Mbona kama mlikuwa mnatukanana? Hapo ulipomuita dumu tupu ndio uliharibu na kupoteza haki zako za kushtaki ili ulipwe ( kama ndicho unachowaza) cha pili ambacho kinasikitisha zaidi, jamaa amekuita MSE...E. na sioni popote ulipokanusha halo. Hivyo huenda anakufahamu sana ndio maana kaenda moja kwa moja kwenye cfa hyo. Mpuuzi kwan kuendelea kuomba ushauri na screenshort yko hyo kutazidi kukudhalilisha