Nifanyaje ili tarehe 28 ifike haraka?

Namna ya kuukimbiza muda!Piga busu la Kenge!
 
Tumeshachoka na haya mabomu wanayoahidi kuyadondosha, halafu siku ikifika ukisikia bomu lenyewe unabaki kujishangaa kwa nini ulipoteza muda kulisubiria. Bora niwe busy na kuuza zangu karanga hapa niokote mia mia watoto waende haja
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…