Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,543
- 4,664
Kitu gani zaidi ya mjani?Tafuta kitu cha kufanya uwe busy
basi fanya kuji overdose.Kitu gani zaidi ya mjani?
Hahaha itakuwa vituko asee yani ifungwe kwasababu ya umbea? 😂😂🤣😆Mtasababisha JF ifungwe kesho.
KWahio britanicca analeta umbea?Hahaha itakuwa vituko asee yani ifungwe kwasababu ya umbea? 😂😂🤣😆
Kama alipona kwa jpm , bwana melo basi atapona hata kwa utawala huu wa kifalme...🤣🤣🤣🤣🍺🍺Mtasababisha JF ifungwe kesho.
Kitu gani zaidi ya mjani?
tujue kamusi inasemaje khs neno "umbea"KWahio britanicca analeta umbea?
Mi nililala tangu asubuhi ila nimeamka saiv ndio saa tisa..Hakuna siku kama ya Leo muda unaenda taratibu kama konokono.
Yani kesho tu inachukua karne kufika.
Mwamba britanicca katuahidi atasimamisha taifa kwa kutuletea habari Kali na nyeti.
Yani tunavyopenda umbea hatuwezi subiri.
Hapa nilipo najilazimisha kulala ili masaa yaende faster lakini waapii.
Naombeni msaada nifanyeje ili kesho ifike haraka?
Kweli nimeamini umbea ni uraibu.
Una hormonalHakuna siku kama ya Leo muda unaenda taratibu kama konokono.
Yani kesho tu inachukua karne kufika.
Mwamba britanicca katuahidi atasimamisha taifa kwa kutuletea habari Kali na nyeti.
Yani tunavyopenda umbea hatuwezi subiri.
Hapa nilipo najilazimisha kulala ili masaa yaende faster lakini waapii.
Naombeni msaada nifanyeje ili kesho ifike haraka?
Kweli nimeamini umbea ni uraibu.