Nifanyahe nina msongo wa mawazo

Nifanyahe nina msongo wa mawazo

o-mick

New Member
Joined
Mar 30, 2013
Posts
3
Reaction score
0
mimi ni kijana wa miaka 20 tatizo ni kwamba yule niliyempenda kaniacha tena bila hata sababu ya kueleweka na nikikumbuka mambo niliyoyafanya kwake roho inaniuma sana true i cant without her plz fans i need your help
 
Acha ulofa wewe, wadada ni wengi kama nzige, angaza macho utapata chombo kingine. We mtoto wa kiume.
 
Piga moyo konde, endelea na maisha...

mimi ni kijana wa miaka 20 tatizo ni kwamba yule niliyempenda kaniacha tena bila hata sababu ya kueleweka na nikikumbuka mambo niliyoyafanya kwake roho inaniuma sana true i cant without her plz fans i need your help
 
Dogo tengeneza maisha hao watu wapo wengi kama kumbikumbi watakuja tu..
 
kwa umri huo bado hujaona maisha kufikia kukata tamaa na kuwa na msongo wa mawazo......soma tengeneza maisha yako wadada wapo na wanaendelea kuwapo
 
Im not your fan. Ila ushauri ni kukomaa na shule. Utamsahau na mwisho wa siku utafaulu vizuri.
Pole
 
Nunua sindano na nyembe nyiiingiii halafu UMEZE
 
miaka 20 ,msongo wa mawazo na mapenzi -haviwezi kuwa kwenye sentensi 1, tafuta maisha kwanza
 
mimi ni kijana wa miaka 20 tatizo ni kwamba yule niliyempenda kaniacha tena bila hata sababu ya kueleweka na nikikumbuka mambo niliyoyafanya kwake roho inaniuma sana true i cant without her plz fans i need your help

Hakika wewe ni kijana mdogo, umri huo unatakiwa kuwa busy na masomo kwa sasa, haya mambo ya mapenzi mbona yapo tu tena sana. Kama utakuwa bado shule hapo unaposema kuna mambo umefanya kwake, napata shida kukupata unless kama unapiga mizinga nyumbani na kuhamishia kwa huyo girlfriend wako.

Ikiwa uko nje ya shule poa, lakini usikonde pia maana hawa wadada ni wengi mno hata ukitoka barabarani utaona wengi wazuri zaidi ya huyo unayelia naye hapa JF pasipo sababu za msingi. Fungua macho utoke utapata mwingine mzuri zaidi ya huyo, huwezi jua huenda Mungu anakuepusha na jambo baya, ila wewe unalaumu bure. Tunaambiwa tushukuru kwa kila jambo.
 
Ukichanganya na fimbo ya Mulugo, maumivu mara dufu. Pole sana. Hii sentensi ya ''I cant live without someone else'' sijui huwa mnataka kumaanisha nini! unajua uthamani wako na uthamani wa kuishi lakini? Think men!!. Life is beatiful, Arise and shine!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hao ndio wanawake bana....sasa wanaofuta wote wee gegeda alafu tupa kule....revenge tym kijana
 
Angalia usiresti in pisi mana kwa huo umri ndo umeanza hiyo safari ya kuachwa bado kama 9 hv watakuacha kwenye mataa wa 10 ndo utabaatisha kufanya muke
 
mimi ni kijana wa miaka 20 tatizo ni kwamba yule niliyempenda kaniacha tena bila hata sababu ya kueleweka na nikikumbuka mambo niliyoyafanya kwake roho inaniuma sana true i cant without her plz fans i need your help

We wakat unateseka na msongo wa mawazo ye anakula raha bila mawazo yoyote juu yako.
 
usije ukajinyonga bure

jipe muda, kuumizwa na mapenzi ni safari ya kukua kimapenzi. Ni kama mtoto kuugua malaria Afrika kupo tu, hakuepukiki ila ni kupunguza chances.

Kama unasoma rudi darasani ukamue, jiwekee malengo makubwa ili uwe bize zaidi.

Pole, wewe si wa kwanza wala wa mwisho.
 
Back
Top Bottom