Nifanyahe nina msongo wa mawazo

Nifanyahe nina msongo wa mawazo

mimi ni kijana wa miaka 20 tatizo ni kwamba yule niliyempenda kaniacha tena bila hata sababu ya kueleweka na nikikumbuka mambo niliyoyafanya kwake roho inaniuma sana true i cant without her plz fans i need your help
Pole sana kubali matokeo. Lkn mbona wewe bado mdogo ulianzaje mambo haya. Nakupa pole tena . Jipe moyo Mungu ni mwema kumbuka kuna wengi kama wewe yaliwakuta lkn walipita salama so calm down. Purukushani za maisha ziko nyingi mno .
 
hivi unakuwaje na stress na umeingia jf???
mwee vituko vyote vya hmu??
mambo yote ya humu still una streees???
hii no sehemu pekee nikioboreka nkiingia humu nakuwa nimetiwa ndimu?
naingia nanuna baada ya sekunde nacheka
 
Sijui kwa nini inafikia sehemu mwanaume unalalamika mwanamke anakuumiza,, huwa sielewi kabisaaaa, ina maana mwanaume unashindwa kuwa na msimamo mpaka unaumizwa au???Always ukipenda sana bila msimamo ndio tatizo lake hilo, kuwa na msimamo mtoto wa kiume na mwanamke asitake kukuumiza akili, muweke awe under control...
 
Ahh! dogo, una hatari..20yrs with depression! how about when you are in 35!!! tatizo mnakumbatia mapenzi as if ni uhai, ukiuachia umekwisha! una 20yrs una-date visichana vyenye 16-19yrs ambavyo ndio kwanza vinashindana na panzi katika kuruka ruka, unategemea nini? dogo piga kitabu kwa kwenda mbele hao wanawake watajileta tu na utawachambua kama karanga! heshima pesa!
 
Haujafeli form four wewe?? Kama hujafeli 4m4,utapata 0 4m6.HUU SIYO MUDA WA KUENDEKEZA MAPENZI DOGO.ANGALIA SANA,BADO UNA VITU VINGI VYA KUWEKA SAWA,SI MAPENZI.Acha kabisa mambo hayo_utakuja ulie na KUSEMA NINGELIJUA
 
mimi ni kijana wa miaka 20 tatizo ni kwamba yule niliyempenda kaniacha tena bila hata sababu ya kueleweka na nikikumbuka mambo niliyoyafanya kwake roho inaniuma sana true i cant without her plz fans i need your help

u cant without her....ondoa hilo wazo kwanza, huo ni kujiendekeza tu, na akigundua upo weak namna hyo hata yeye atakuchukia mara mbili kwan mwanaume lazima uwe imara sio kukimbilia kusema u cant without her.
 
kwa umri huo bado hujaona maisha kufikia kukata tamaa na kuwa na msongo wa mawazo......soma tengeneza maisha yako wadada wapo na wanaendelea kuwapo

shikamoo, afadhali umshauri wewe maana mimi nikiangalia umri wake naànacho kiongea naona anastahili viboko angalau kumi hivi ili akili yake ikae sawa...yaani sisi tunawakwepa wanawake yeye anawawaza mpakaànashindwa kuishi pumbavu kabisa si amuwaze mama yake aliemzaa..
 
Ruka ghorofani kama yule wakili wa arusha
 
mimi ni kijana wa miaka 20 tatizo ni kwamba yule niliyempenda kaniacha tena bila hata sababu ya kueleweka na nikikumbuka mambo niliyoyafanya kwake roho inaniuma sana true i cant without her plz fans i need your help

Huo ufala, kwani darasani kwenu wengine wameisha?
 
umri wako bdo mdogo sana we jikeep busy na masomo na shughuli nyngne za jamii,mbona wapo wengi sana tu.
 
shikamoo, afadhali umshauri wewe maana mimi nikiangalia umri wake naànacho kiongea naona anastahili viboko angalau kumi hivi ili akili yake ikae sawa...yaani sisi tunawakwepa wanawake yeye anawawaza mpakaànashindwa kuishi pumbavu kabisa si amuwaze mama yake aliemzaa..

halafu akipata div0 iwe ni form4 au form6 lawama zinamwendea mwalimu!
 
mimi ni kijana wa miaka 20 tatizo ni kwamba yule niliyempenda kaniacha tena bila hata sababu ya kueleweka na nikikumbuka mambo niliyoyafanya kwake roho inaniuma sana true i cant without her plz fans i need your help

Acha ujinga wewe,kwani yeye ni nani usiweze kuendelea na maisha yako...kila kitu kwa kiasi,penda kwa kiasi,usijiachie mpaka bac!
 
wakuu kumbe dawa ni kupga kitab na hawa warembo wapo na tutawakuka,kijana pga buku kwanza
 
mimi ni kijana wa miaka 20 tatizo ni kwamba yule niliyempenda kaniacha tena bila hata sababu ya kueleweka na nikikumbuka mambo niliyoyafanya kwake roho inaniuma sana true i cant without her plz fans i need your help

umri wako unaonesha we bado upo kwenye depo letu la mapenzi hiyo ni hatua tu ya kujifunza na i knw dat ua going to be good kwenye ndoa kwa sababu umeshapitia depo@la ndoa.
Ushauri wangu nasema Msahau huyo mwehu utapata mwingine
 
Ukichanganya na fimbo ya Mulugo, maumivu mara dufu. Pole sana. Hii sentensi ya ''I cant live without someone else'' sijui huwa mnataka kumaanisha nini! unajua uthamani wako na uthamani wa kuishi lakini? Think men!!. Life is beatiful, Arise and shine!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

najivunia kuwa best yako!
asante kwa kunitengenezea siku kwa busara nzuri namna hii!
heri ya pasaka best!
ila nimesubir mwalikooooo weeeee!but where!
 
Dear snowhite, I am very humbled to learn this, It an honor!

Asante sana, Heri nawe pia. Pasaka ilikuwa njema, nilipata wasaa mzuri wa kupumzika kutafakari mambo mawili matatu
sikuwa hata na kamtoko best, I am just a homie guy.
Mwaliko will come, just wait wait small!!!!

najivunia kuwa best yako!
asante kwa kunitengenezea siku kwa busara nzuri namna hii!
heri ya pasaka best!
ila nimesubir mwalikooooo weeeee!but where!
 
Back
Top Bottom