Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 821
- 1,876
Amani iwe kwenu, Kumekuwepo na maneno mengi juu ya miujiza inayofanywa na wachungaji ,manabii na mitume kuwa, wanaweza kufanya miujiza ukabadilisha maisha yako mfano ukapandishwa cheo kazini, ukajenga ukapata mtoto na hata ukanunua gari.
Mnaowaamini hao mitume na manabii leteni ufafanuzi Ili Watanzania tuondoke kwenye umaskini mana hiyo itakuwa njia rahisi ya kulitoa Taifa katika lindi la umaskini, sababu wanasisa na wanasayansi wetu wameshindwa.
Hi itatusaidia sisi wa kima cha chini tuweze kutimiza malengo ya kujenga na kumiliki usafiri Kwa vipato vyetu vidogo.
Mnaowaamini hao mitume na manabii leteni ufafanuzi Ili Watanzania tuondoke kwenye umaskini mana hiyo itakuwa njia rahisi ya kulitoa Taifa katika lindi la umaskini, sababu wanasisa na wanasayansi wetu wameshindwa.
Hi itatusaidia sisi wa kima cha chini tuweze kutimiza malengo ya kujenga na kumiliki usafiri Kwa vipato vyetu vidogo.