snayper
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 302
- 218
- Thread starter
- #41
Asante Mkuu ushaur umetuliaMuumize, mchunie kwa muda sio sms wala call, akikutafuta kwa njia yoyote chuna tu' hamadi siku amekusaka kwa miguu na kukuuliza kulikoni, mwambie umepata mrembo ana wivu balaa na unampenda kufa, mwambie kafuta majina yote ya ma she ktk simu yako na wewe umeona sawa tu kuliko kumkosa maana waliofutwa hawakuwa na faida kama yeye.