snayper
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 302
- 218
Habar za asubuh wakuu? bila kupoteza muda niende kwenye maada, mm ni kijana kuna mtoto mzuri namuelewa Sanaa, nimeanza harakat za kumfukuzia tangu November mwaka Jana, jibu lilikuwa ni kwamba ana mpenzi wake na wanapendana sana, alisema tuwe marafiki tu wakaida nikaona isiwe taabu nikakubali,
Kadri muda ulivyoenda tulizidi kuzoeana, mpk kuna kipindi akawa ananiambia anazinguana na mpenzi wake ananiomba ushaur, muda mwingine anajisahau ananiita bby, kiufupi akanizoea sana tukawa tunachat muda wowote hata usiku wa manane, akawa kila akinimiss ananipigia, akawa na attentions na mm sanaa,,
Basi baada ya kunizoea sana sikukata tamaa, nikaanza tena kumchombeza kuhus hisia zangu kwake Lakin aliendelea kunikazia this time anasema hana feelings kwangu, hapo ndipo naanza kukata tamaa. Huyu mtoto namkubali kinoma naomben ushauri wenu wanajamvi niendelee kukaza au nikubaliane na matokeo?? Maana ni muda sasa toka nianze kumtongoza naona kama ananipotezea muda tu
Kadri muda ulivyoenda tulizidi kuzoeana, mpk kuna kipindi akawa ananiambia anazinguana na mpenzi wake ananiomba ushaur, muda mwingine anajisahau ananiita bby, kiufupi akanizoea sana tukawa tunachat muda wowote hata usiku wa manane, akawa kila akinimiss ananipigia, akawa na attentions na mm sanaa,,
Basi baada ya kunizoea sana sikukata tamaa, nikaanza tena kumchombeza kuhus hisia zangu kwake Lakin aliendelea kunikazia this time anasema hana feelings kwangu, hapo ndipo naanza kukata tamaa. Huyu mtoto namkubali kinoma naomben ushauri wenu wanajamvi niendelee kukaza au nikubaliane na matokeo?? Maana ni muda sasa toka nianze kumtongoza naona kama ananipotezea muda tu
