niende tra au nifanyaje wakuu?

Status
Not open for further replies.
Cjui ulipitaje katika huo mchujo wa tra kama akili yenyew ndo hii...
 
thanx bro..nimejikuta naipenda sana kazi ya sales ingawa haikuwahi kuwa ndoto yangu

Unafanya Sales za bidhaa gani?? Kama ni Heavy Duty Machines na upo Avic Shantui, hapo nakushauri usiondoke. Serikalini ni pagumu sana kwa kipindi hiki cha Uncle Magu .... Hawa wachina ni wachina wazungu,wanajali sana maisha ya mtanzania.... Lakini kama upo company nyingine.... Dadavua mwenyewe....
 
TRA wana SACCOS Kubwa Sana Net Assets zake ni 65billion Baada ya Kuchukua barua ya Appointment tuu ya Kazi Una uwezo wa Kupata Mkopo wenye Riba Nafuu Sana

Yaani Kila Mtu Anayetoa Ushauri amejikita katika Wizi/rushwa ,Fananisheni na Taasisi za Wachina

Ukifanya Kazi kwa Uaminifu Utadumu kwenye Ajira.
 
Wewe inaonekana u have a plan nzuri sema unataka kutuzuga umesema u want to own ur own business in 3 yrs TRA unafata nini? Stay ur game 3 yrs is kesho utapata ulichokitaka ....kuajiriwa na kampuni au serikali sio maisha trust me do your own utafika mbaaaali sana get married hauta chezea mkwanja this is from experience forget TRA hakisha u get ur own shop hutajutia ever ever
 
Mkuu mafanikio ya kufanya kazi tra kwa sasa inategemea na kiti ulichokikalia/ utakachokikalia.
 
kwani una mda gani tokea uanze kupiga kazi na wachina, kama ushatengeneza connection za kutosha nakushauri nenda TRA huku ukipiga business zako taratibu, unaweza kutafuta kijana uka mtrain wewe ukawa msimamizi hii itakupunguzia majukumu bila kuathiri utendaji kazi wako serikalini
 
Fuata Moyo wako, unataka nini ni wapi utadumu kwa furaha wakati unafanya kazi.

Na unaonekana kwa wachina ni Bora zaidi kuliko serikalinini kwa maana ya Experience uliopata na network ulionayo kwasasa kiasi chakuona fursa ya ziada, ama ndoto iliojitokeza ya kuwa Boss wa maisha yako katika bishara amabyo umeipanga kuifanya. Nafikiri huku ni kuzuri zaidi ya huko unapotaka kwenda. (TRA)

Otherwise ukichagua kwenda TRA, uje ututonyee tupate hiyoo fursa unayo ikataa kwa wachina mkuu [emoji16]
 
Ndugu yangu kama ni kweli haya uyanenayo Mungu anakuona...



Kama hufahamu maslahi ya TRA ulifanya usaili wa nini sasa? Au ndo kuwabania madogo wasipate kazi
 
kweli hata hiyo interview ya TRA sijui ulipitaje, hata aya hakuna...!!
ama kweli kua uyaone, hapa kwel nayaona mengi
 
Mkuu unaonaje unapoenda enda tra uniunganishe kwa wachina
 
VETTING

investigate (someone) thoroughly, especially in order to ensure that they are suitable for a job requiring secrecy, loyalty, or trustworthiness.
"each applicant will be vetted by police"
mkuu pamoja na kwamba uzi ni wa muda mrefu,, VETTING haifanywi na Police ni TISS
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…