financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,133
- 40,695
Mi nahisi huko TRA pia kuna mazingira/vishawishi vya rushwa rushwa hivi nk. hivyo usipojua majukumu na maadili ya kazi yako lazima yakupate hayo na hata huyo aliyefukuzwa huenda kuna vitu alizingua , hivyo uaminifu ni muhimu ili kudumu kene chombo mkuuTRA kufukuzwa nje nje,kuna jamaa yetu alikuwa tra mtukula alifukuzwa kazi kwa fitna akafungua kesi sijui iliishia wapi ila akapata kazi Aghakan Mtwara.Siku hizi sijui yuko wapi