Tukuelewejw mleta Uzi???? Waliosoma mchepuo wa PCB tukutane hapa
Huu Uzi wako na Uzi wa Leo tuchukue lipi?
Mwanzoni ulisema umesoma PCB halafu Leo unaleta matokeo ya kidato cha NNE???
Umepata one ya kumi au siyo, gonga pcm ukiwa ukiwa unajua kuwa unakuja kuwa Fundi haijalishi ni fundi wa wa nini, aliyepata div 2 PCB atakuja kuwa dactari, alive pats div 3 ya mwisho HGL anaweza akakosa shule ya goverment akaenda private akatusua vilevile akajakuwa mwanasiasa( mbunge) hatimaye Waziri wote mkawa chini yake, hapo ndipo utakapojua kwamba siasa inalipa Tanzania kuliko hivo vingine
Huyu c ndio alikuwa MUHAS Pharmacy Mara akaibukia ARDHI Mara akadai hawezi kutongoza hatujakaa Sawa akatuulizia wapi kuna Tuition za University.... Pumbu.vuuuh...