sio kwamba nimelala tu nyumbani,kuna sehemu nipo napiga kazi,ila nilitaka kuangalia challenges nyingne hasa huko serikalini.
Kama ni ud jiandae na mshahara mdogo,nashangaa kwanini hiki chuo wanalipa mishahara midogo ukilinganisha na vyuo vingine
ardhi.
kwa kazi za kada ipi kiongozi...ukilinganisha na chuo gani kwa mfano
Kwa mfano mzumbe,muhimbili,open university scale zao zipo juu ila ud ,udom walewale ila wote wanatumia scale moja ya pgss