Niende au nisiende?

Niende au nisiende?

Hata kama wanamtaka mmoja na washamwandaa ntaenda. Kuna experience utapata hapo kuliko kubaki unakula mirungi arusha
Hata makufuli alichukua fomu huku akijua kuna majina ya mfukoni
 
Duh yaani watu 33 ndo unalalamika hhahaah na sisi tuloitwa 600+ utumishi
 
Hata kama wanamtaka mmoja na washamwandaa ntaenda. Kuna experience utapata hapo kuliko kubaki unakula mirungi arusha
Hata makufuli alichukua fomu huku akijua kuna majina ya mfukoni

ha ha ha,mkuu me situmii mirungi.
 
Mkuu watu 33 unaona wengi? For sure i wish ningekuwa mimi. Sijawai fanya interview ya watu wachache hivyo. Nimezoea watu nyomiiii unakuta watu 800,12000,10000,700,juzi tu nimetoka kufanya tulioitwa ni watu 394 kwa Nafasi moja nikaona wachache kishenzi.
 
aridhi university, sisi tumeitwa 144, nafasi 2, ila naenda tu
 
We tangana si uko m'power? ??unakula 630000 na kufunga solar
Ndo maana una kiburi. .njoo huku mjini uone maisha yanavyoenda uko offgrid wanakuharibia career yako tu..
 
NITAJIENI MSHAHARA WA T.A VYUO VYA SERIKALI KWANZA HAPA,
ND'O NIENDE KWENYE INTAVYUu.
 
We tangana si uko m'power? ??unakula 630000 na kufunga solar
Ndo maana una kiburi. .njoo huku mjini uone maisha yanavyoenda uko offgrid wanakuharibia career yako tu..

m power nilidumu miezi miwili tu nikasepa kijana.
 
Nimeitwa kwenye usaili kwenye chuo kikuu kimoja maarufu jijini dar kilichoko karibu na mlimani city ,idadi ya watu tulioitwa kwenye hyo nafasi ni 33 ila sijajua wanataka watu wangapi.

Sasa nauliza niende au nisiende maana niko arusha kwa sasa na usaili ni tarehe 13 mwezi huu ila hofu yangu ni kuwa naweza nikapoteza muda na gharama zangu kumbe wao huko wana watu wao waliowaandaa.

Tupeane mawazo wakuu.

Una mambo mawili ambayo yanasomeka kwa zaidi ya ulicho kiandika:-
1- Una hofu na mashaka/ Haujiamini
2- Una njia m-badala/ Kazi nyingine
Naomba nikukumbushe wakale walipo sema... Heri mtembea bure, kuliko mkaa bure.
 
Una mambo mawili ambayo yanasomeka kwa zaidi ya ulicho kiandika:-
1- Una hofu na mashaka/ Haujiamini
2- Una njia m-badala/ Kazi nyingine
Naomba nikukumbushe wakale walipo sema... Heri mtembea bure, kuliko mkaa bure.

yote hayo uliyoandika ni majibu mkuu,mbaya zaidi nimegundua katka hyo nafasi anatakiwa mtu mmoja tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom