Niende au nimpotezee?

Niende au nimpotezee?

Kama amepanga kukumaliza? Wewe jipeleke tu. Kama anashida na Ulinzi si atafute makampuni ya ulinzi?
 
duuu
Wana jf naombeni mnishauri
Hiko hivi mimi kuna kijana nilikua nae kwenye mahusiano ila hatukudumu sana tukaachana na kukata mawasiliano kabisa kwa muda wa mwaka mmoja,sasa cha kushangaza leo niliporudi kwangu kutoka mihangaiko nikaambiwa na dada jirani hapa kwamba kuna kijana kaja kukutafuta kumuuliza nani huyo kijana akanitajia jina afu akanipa na namba za simu akasema amesema nimtafute na ni muhimu kweli,basi nikamtext akanipigia akauliza nipo wapi nikamwambia home akasema anakuja sababu ana shida muhimu sana nikamjibu poa,baada ya nusu saa akawa keshafika baada ya salamu akanza kuomba msamaha kwa yaliyopita na akadai kilichomleta yeye anataka kusafiri na huko anakoenda atakaa kwa muda wa miez mitatu hivo anaomba niende nikakae kwake ili kumuangalizia nyumba yake mpaka ataporudi maana hapo kwake kuna mlinzi tu na house boy,pia akanambia akirudi kuna pesa atanipatia kama zawadi..me sijamjibu nimemwambia kwanza nijifikirie sasa wapendwa nishaurini niende au nimpotezee tu?
Duuuh upo wewe...
 
Wana jf naombeni mnishauri
Hiko hivi mimi kuna kijana nilikua nae kwenye mahusiano ila hatukudumu sana tukaachana na kukata mawasiliano kabisa kwa muda wa mwaka mmoja,sasa cha kushangaza leo niliporudi kwangu kutoka mihangaiko nikaambiwa na dada jirani hapa kwamba kuna kijana kaja kukutafuta kumuuliza nani huyo kijana akanitajia jina afu akanipa na namba za simu akasema amesema nimtafute na ni muhimu kweli,basi nikamtext akanipigia akauliza nipo wapi nikamwambia home akasema anakuja sababu ana shida muhimu sana nikamjibu poa,baada ya nusu saa akawa keshafika baada ya salamu akanza kuomba msamaha kwa yaliyopita na akadai kilichomleta yeye anataka kusafiri na huko anakoenda atakaa kwa muda wa miez mitatu hivo anaomba niende nikakae kwake ili kumuangalizia nyumba yake mpaka ataporudi maana hapo kwake kuna mlinzi tu na house boy,pia akanambia akirudi kuna pesa atanipatia kama zawadi..me sijamjibu nimemwambia kwanza nijifikirie sasa wapendwa nishaurini niende au nimpotezee tu?
Nenda house boy ajipongeze naye..! Afu nyie hivi ukienda pale kesi kila siku na house boy utadhani mke kumbe mkekweli yupo ametulia..!

Angalizo ndiyo hivyo unaolewa hivyo..
 
Nenda ukatolewe kafara kuna na watu kama wewe ni hasara kwa taifa
 
Inamana ukienda mnarudisha mahusiano,
Kama unashaka pia usiende
 
Kachukue Pesa hiyo. Thought anakuhitaji, kumbe ni kwa sababu anasafiri?
 
Naomba namba zako na unihakikishie kuwa utakuwa unanibeep kila baada ya masaa 2. Hii ni kwa sababu hana nia njema na wewe. Tena huenda alikuhisi vibaya mara ya mwisho mlipokuwa pamoja sasa anataka kulipiza kisasi. Ati pesa atakuja kukupa akirudi. Kutoka wapi? Je wewe huwezi pata safari ghafla akiwa hayupo? Nnani ataichunga nyumba? Ana mpango wa kuja kukuvamia akutoe uhai aseme alikuwa safari.
 
Asa si angekwambia tu kishkaji ukamlindie nyumbani kwake ,maana anakufahamu hadi kwenu/kwako huezi kuiba....

Mimi ningemshauri jamaa akwambie tu hivo asizunguke zunguke, kuachana sio uadui.
.
 
Kwa hiyo kakukumbuka baada ya kuhutaji mtu wa kukaa kwake?
Halafu we kwako hata pakikosa mkaaji sawa tu kwake ndipo pana thamani?
 
Wana jf naombeni mnishauri
Hiko hivi mimi kuna kijana nilikua nae kwenye mahusiano ila hatukudumu sana tukaachana na kukata mawasiliano kabisa kwa muda wa mwaka mmoja,sasa cha kushangaza leo niliporudi kwangu kutoka mihangaiko nikaambiwa na dada jirani hapa kwamba kuna kijana kaja kukutafuta kumuuliza nani huyo kijana akanitajia jina afu akanipa na namba za simu akasema amesema nimtafute na ni muhimu kweli,basi nikamtext akanipigia akauliza nipo wapi nikamwambia home akasema anakuja sababu ana shida muhimu sana nikamjibu poa,baada ya nusu saa akawa keshafika baada ya salamu akanza kuomba msamaha kwa yaliyopita na akadai kilichomleta yeye anataka kusafiri na huko anakoenda atakaa kwa muda wa miez mitatu hivo anaomba niende nikakae kwake ili kumuangalizia nyumba yake mpaka ataporudi maana hapo kwake kuna mlinzi tu na house boy,pia akanambia akirudi kuna pesa atanipatia kama zawadi..me sijamjibu nimemwambia kwanza nijifikirie sasa wapendwa nishaurini niende au nimpotezee tu?
Ondoka njoo kwangu upate poozo la moyo jamaniii!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom