Duuuh upo wewe...Wana jf naombeni mnishauri
Hiko hivi mimi kuna kijana nilikua nae kwenye mahusiano ila hatukudumu sana tukaachana na kukata mawasiliano kabisa kwa muda wa mwaka mmoja,sasa cha kushangaza leo niliporudi kwangu kutoka mihangaiko nikaambiwa na dada jirani hapa kwamba kuna kijana kaja kukutafuta kumuuliza nani huyo kijana akanitajia jina afu akanipa na namba za simu akasema amesema nimtafute na ni muhimu kweli,basi nikamtext akanipigia akauliza nipo wapi nikamwambia home akasema anakuja sababu ana shida muhimu sana nikamjibu poa,baada ya nusu saa akawa keshafika baada ya salamu akanza kuomba msamaha kwa yaliyopita na akadai kilichomleta yeye anataka kusafiri na huko anakoenda atakaa kwa muda wa miez mitatu hivo anaomba niende nikakae kwake ili kumuangalizia nyumba yake mpaka ataporudi maana hapo kwake kuna mlinzi tu na house boy,pia akanambia akirudi kuna pesa atanipatia kama zawadi..me sijamjibu nimemwambia kwanza nijifikirie sasa wapendwa nishaurini niende au nimpotezee tu?
Hilo neno limebeba nia ya mleta mada hana cha kujificha fichaUnazuga tu! ningeshangaa kwenye pesa ukatae
Nenda house boy ajipongeze naye..! Afu nyie hivi ukienda pale kesi kila siku na house boy utadhani mke kumbe mkekweli yupo ametulia..!Wana jf naombeni mnishauri
Hiko hivi mimi kuna kijana nilikua nae kwenye mahusiano ila hatukudumu sana tukaachana na kukata mawasiliano kabisa kwa muda wa mwaka mmoja,sasa cha kushangaza leo niliporudi kwangu kutoka mihangaiko nikaambiwa na dada jirani hapa kwamba kuna kijana kaja kukutafuta kumuuliza nani huyo kijana akanitajia jina afu akanipa na namba za simu akasema amesema nimtafute na ni muhimu kweli,basi nikamtext akanipigia akauliza nipo wapi nikamwambia home akasema anakuja sababu ana shida muhimu sana nikamjibu poa,baada ya nusu saa akawa keshafika baada ya salamu akanza kuomba msamaha kwa yaliyopita na akadai kilichomleta yeye anataka kusafiri na huko anakoenda atakaa kwa muda wa miez mitatu hivo anaomba niende nikakae kwake ili kumuangalizia nyumba yake mpaka ataporudi maana hapo kwake kuna mlinzi tu na house boy,pia akanambia akirudi kuna pesa atanipatia kama zawadi..me sijamjibu nimemwambia kwanza nijifikirie sasa wapendwa nishaurini niende au nimpotezee tu?


....Ondoka njoo kwangu upate poozo la moyo jamaniii!Wana jf naombeni mnishauri
Hiko hivi mimi kuna kijana nilikua nae kwenye mahusiano ila hatukudumu sana tukaachana na kukata mawasiliano kabisa kwa muda wa mwaka mmoja,sasa cha kushangaza leo niliporudi kwangu kutoka mihangaiko nikaambiwa na dada jirani hapa kwamba kuna kijana kaja kukutafuta kumuuliza nani huyo kijana akanitajia jina afu akanipa na namba za simu akasema amesema nimtafute na ni muhimu kweli,basi nikamtext akanipigia akauliza nipo wapi nikamwambia home akasema anakuja sababu ana shida muhimu sana nikamjibu poa,baada ya nusu saa akawa keshafika baada ya salamu akanza kuomba msamaha kwa yaliyopita na akadai kilichomleta yeye anataka kusafiri na huko anakoenda atakaa kwa muda wa miez mitatu hivo anaomba niende nikakae kwake ili kumuangalizia nyumba yake mpaka ataporudi maana hapo kwake kuna mlinzi tu na house boy,pia akanambia akirudi kuna pesa atanipatia kama zawadi..me sijamjibu nimemwambia kwanza nijifikirie sasa wapendwa nishaurini niende au nimpotezee tu?