Social anxiety.yaan ni mnyenyekevu to the bones, sinaga time na tabia za kutongoza ovyo, sio mchafu mchafu Siku zote utanikuta smart mwilini na kichwani. Why jamani?
Hii nalo ni jambo la kukulia muda kukifikiria mkuu?Wakuu aisee nna changamoto ambayo nahitaji kuielewa kabla sijaipotezea as usual but this time nahitaji msaada wenu Ili nikiipotezea nisije jiuliza maswali kama haya Tena hapo badae..
Wanawake
1. Kwanini wanawake haswa my age Kila ninapo wakuta sehemu wanazotoa services mfano canteen, kwenye biashara zao ndogo ndogo hua Wana act so unfriendly, yaan unaweza simama mbele yake akawa anahudumia wengine we ni kama hakuoni? Happened so many time
2. Njiani unaweza kutana nao wawili ama watatu wakipiga stori the moment umewaaproach TU ukimya unatanda mpaka wakifika mbali kidogo na Hi hawatoi ila ukiwasalimia Wana respond vizuri??
3. Kuna wengine una mpa Hi tu ye anakausha mpka unajiona fala
4. Why?
Wanaume wenzangu nao
1. Yaan wanaweza kukulia buyu TU na unakuta ni jamaa zako unaofahamiana nao japo sio marafiki
2. Kuna muda kwenye social functions unaona kama Wana conspire kukubagua hivi bila sababu za msingi
3. Why??
Binafsi, sikumbuki Mara ya mwisho nimemtukana mtu sincerely, yaan ni mnyenyekevu to the bones, sinaga time na tabia za kutongoza ovyo, sio mchafu mchafu Siku zote utanikuta smart mwilini na kichwani. Why jamani? Au ni mikosi nimetupiwa na roho ya kukataliwa
Nimekupata, a very beautiful new perspective. Thanks MkuuSocial anxiety.
Ni ngumu kwako kujichanganya na watu, kuzoeana na mtu ni ngumu kwako hujui uanzie wapi.
Kwahiyo watu hawakuzingatii kwasababu hawakujui yaani.
Na unapata imposter syndrome unajiona mdogo, haufai kwahiyo hata uchangamfu unakosa. Na huwezi amini watu wakikuangalia mara moja tu wanajua.
Ndio maana ukikutana na mtu mara ya kwanza unaona kama anakuogopa/kukwepa mfano hao wadada. Ni kwamba wanakushangaa/hawakuelewi.
Hua silizingatii kabisa yaan, ila Leo nimeona nilidisect Leo anonymouslyHii nalo ni jambo la kukulia muda kukifikiria mkuu?
Unataka upendwe na kila mtu au?.. muulize BICHWA KOMWE - Alliishi vipi mana na yeye alikuwa na mentality ya kutaka kupendwa na kila mtu kama wewe na ilimsumbua vilevile
huna mikosi mdogo wangu ila nimekusoma kama kijana mtulivu ambae hana mambo mengi. Fanya hivi jifunze yale makundi manne ya binadam na tabia zao kisha angalia wewe uko kundi gan. Ukishajifahamu hutapata taabu tenaWakuu aisee nna changamoto ambayo nahitaji kuielewa kabla sijaipotezea as usual but this time nahitaji msaada wenu Ili nikiipotezea nisije jiuliza maswali kama haya Tena hapo badae..
Wanawake
1. Kwanini wanawake haswa my age Kila ninapo wakuta sehemu wanazotoa services mfano canteen, kwenye biashara zao ndogo ndogo hua Wana act so unfriendly, yaan unaweza simama mbele yake akawa anahudumia wengine we ni kama hakuoni? Happened so many time
2. Njiani unaweza kutana nao wawili ama watatu wakipiga stori the moment umewaaproach TU ukimya unatanda mpaka wakifika mbali kidogo na Hi hawatoi ila ukiwasalimia Wana respond vizuri??
3. Kuna wengine una mpa Hi tu ye anakausha mpka unajiona fala
4. Why?
Wanaume wenzangu nao
1. Yaan wanaweza kukulia buyu TU na unakuta ni jamaa zako unaofahamiana nao japo sio marafiki
2. Kuna muda kwenye social functions unaona kama Wana conspire kukubagua hivi bila sababu za msingi
3. Why??
Binafsi, sikumbuki Mara ya mwisho nimemtukana mtu sincerely, yaan ni mnyenyekevu to the bones, sinaga time na tabia za kutongoza ovyo, sio mchafu mchafu Siku zote utanikuta smart mwilini na kichwani. Why jamani? Au ni mikosi nimetupiwa na roho ya kukataliwa
Hahahahaaaaa....Hii nalo ni jambo la kukulia muda kukifikiria mkuu?
Unataka upendwe na kila mtu au?.. muulize BICHWA KOMWE - Alliishi vipi mana na yeye alikuwa na mentality ya kutaka kupendwa na kila mtu kama wewe na ilimsumbua vilevile
Thanks my senior, umenijibu Kwa upole sana. Faraja nilioipata MUNGU akuzidishie pale utakapoihitaji na wew. Hayo makundi manne nitayafatilia vizurihuna mikosi mdogo wangu ila nimekusoma kama kijana mtulivu ambae hana mambo mengi. Fanya hivi jifunze yale makundi manne ya binadam na tabia zao kisha angalia wewe uko kundi gan. Ukishajifahamu hutapata taabu tena
Thanks Mkuu, nashukuru Kwa kutake ur time kuandika a very positive answer. Asante sanaIt is spiritual.
Kuna namna energies kati yenu zinakuwa REPULSIVE zinasukumana na kukataana.
Don't get bothered, achana nayo, na kwa kadiri unavyoumia ndivyo hali itakavyozidi kuwa tata zaidi.
Forget it. Tena wewe unaonekana una kipawa cha utajiri mkubwa sana.
Zingatia.
hahahahaaaa kwa iyo watu huwa wanakuona mkimya kumbe wewe uko kwenye komangano la mawazo mabaya? Try to be postive mdogo wangu utayafurahia maisha. Hata mtu akikukwaza achana nae usijiumize saana kwa ajili ya mtu ambae hata hafeel hayo maumivu unayopitia. Ishi kwa amani acha kuwaza mikosi sijui vitu gani hakuna. Kwa kawaida kila mtu ana changamoto zake anazopitia akikusimulia utaona yeye ndo mwenye shida kuliko wewe, kwa hiyo changamoto ni kawaida kwa binadam na siku hazifanan kuna siku mbaya na siku nzuri. Chamuhimu ni kuwa na mtazamo chanya katika maisha yako usiruhusu evil spirit zikutawaleThanks my senior, umenijibu Kwa upole sana. Faraja nilioipata MUNGU akuzidishie pale utakapoihitaji na wew. Hayo makundi manne nitayafatilia vizuri
Kuna muda hua nahisi I don't fit in with most of people wanaoniznguka ila Kuna muda nahisi ni sababu ya ubinafsi na kujiskia kwangu ndomana... Yaan it's a freaking dark thoughts limbo hata sielewi which is which some of the times