Wakuu,
NIDA wanasumbua mno na kuna watu wengi mambo yao yamelala kisa hawa jamaa. Nadhani sasa ipangwe bei ili kila mwananchi alipie na kitoke kwa wakati maana wakati mwingine ni ngumu kupata kwa sababu tunavipata bure.
Kuna mikoa mingi tu watu hawajapata vitambulisho kwa mfano Kigoma, Kagera, Katavi na mingine mingi. Vitambulisho ni tatizo kubwa sana.
NIDA wanasumbua mno na kuna watu wengi mambo yao yamelala kisa hawa jamaa. Nadhani sasa ipangwe bei ili kila mwananchi alipie na kitoke kwa wakati maana wakati mwingine ni ngumu kupata kwa sababu tunavipata bure.
Kuna mikoa mingi tu watu hawajapata vitambulisho kwa mfano Kigoma, Kagera, Katavi na mingine mingi. Vitambulisho ni tatizo kubwa sana.