NIDA wameanza kufunga namba

NIDA wameanza kufunga namba

NIDA wanafungiaje namba wakati wenyewe wako hai? safari ipo ya kufuata vitambulisho huko mikoani walikojiandikisha
 
Kama ulikua unatuma zile meseji za "ile hela tuma kwenye namba hii" au unatuma meseji zinazofanana kwa watu wengi ndani ya muda mfupi , laini na namba yako ya Nida inafungwa au kimoja wapo.
 
Wakufungie tu maana hujui umuhimu wa kitambulisho cha uraia. Na kama uko Kigoma utapata taabu sana kwa sababu Kigoma ndo mkoa pekee ukienda unakutana na ukaguzi wa Immigration hata mara tatu.
Alafu hana kitambulisho cha NIDA anaishi Kigoma na kusema Nne hajui anasema ine, kusema mtu hajui anasema Mutu , na Immigration wanafanya doria muda wote
 
Wakufungie tu maana hujui umuhimu wa kitambulisho cha uraia. Na kama uko Kigoma utapata taabu sana kwa sababu Kigoma ndo mkoa pekee ukienda unakutana na ukaguzi wa Immigration hata mara tatu.
Kwa nivyo muelewa mtoa Mada ni kwamba alijiandisha Temeke na akapata namba bila kitambulisho then akaenda kigoma sasa Vitambulisho vimetoka yeye yupo mbali na wanamfungia Nida ilikuaje wakashindwa kutoa kitambulisho Moja kwa Moja now wasumbue wananchi mbona vya kura wanafyatua hapo hapo kama Sio uhujumu tu ?
Kingine
Kwakwambia hajui umuhimu wa NIDA wapi?
Acha kukurupuka dume zima unajiita mama Samia hovyo na mandevu Yako yaliyotapakaa sehemu zote nyeti za mwili,

Shabhaaash!
 
Back
Top Bottom