Nimekuuliza swali... Sio kuanza kuniattack
Tatizo lako mjuwaji usielewa.
Hapa jukwaani usichukulie easy we are not kids.
Nimekuuliza swali... Sio kuanza kuniattack
Ww ni mtz wakuzaliwa kweliTatizo lako mjuwaji usielewa.
Hapa jukwaani usichukulie easy we are not kids.
Wewe unaona hiyo heading ipo vizuri
Ww ni mtz wakuzaliwa kweli
Toka secondary umesoma kutengeneza title za habar.... Badili weka title nzur... Mwisho mimi sio dogo lako tafadhali.
Hiyo post ina tatizo gani? Je nimetukana mtu? Ulivyo mnafiki,hujaleta hiyo post yake ambayo imenipelekea mm kumjibu hivyo...Leta hiyo post... Ukishindwa kuileta naomba tuishie hapahapa ili tusije fikishana mbali kwa unafiki wako.Jifunze kuheshimu, hata mada hujaielewa
Hatujadili Uraia wangu.
Jikite kwenye mada.
Ungekuwa mstarabu, Huyu mtoa hoja very humbled amekuuliza kiungwana jibu lake la kwanza kwako
Ulichomjibu ni aibu kwako👇
Unamatatizo?
Hiyo post ina tatizo gani? Je nimetukana mtu? Ulivyo mnafiki,hujaleta hiyo post yake ambayo imenipelekea mm kumjibu hivyo...Leta hiyo post... Ukishindwa kuileta naomba tuishie hapahapa ili tusije fikishana mbali kwa unafiki wako.