NIDA Kuna shida gani mbona hampokei simu?

Jimbi

JF-Expert Member
Aug 16, 2010
3,951
4,264
Wakuu, Mamlaka ya NIDA imeorodhesha namba hizi kwaajili ya mawasiliano kwa sisi wateja wao wenye changamoto mbali mbali kutokana URASIMU wao;

0752 000058, 0677 146667, 0777 740008, na 0735 201020.
Jambo la kushangaza na KUUDHI, namba hizo kila ukipiga simu HAZIPOKELEWI wala kujibiwa chochote. Kuna nini huko NIDA? Kwanini mnatufanyia UHUNI wa namna hii?

Kama shughuli zenu zimefungwa rasmi mtoe taarifa ili tujue cha kufanya kuliko kutuchezea akili namna hii.
 
Watumie kwanza hela hata buku 5 tu halafu andika ujumbe "ile laki mbili ntaituma baada ya lisaa"
Then baada ya nusu saa wapigie hapo watapokea tu..😂

Mkuu waonaje ukiwafata ofisini mwao.. we wafate hukohuko kama timbwili kalianzishe huko mpk kieleweke.
 
Watumie kwanza hela hata buku 5 tu halafu andika ujumbe "ile laki mbili ntaituma baada ya lisaa"
Then baada ya nusu saa wapigie hapo watapokea tu..😂

Mkuu waonaje ukiwafata ofisini mwao.. we wafate hukohuko kama timbwili kalianzishe huko mpk kieleweke.
Ofisi tuna ambiwa zimefungwa kwa sababu ya corona Mkuu, au wanafuatilia mkutano wa chama chao cha CCM huko?
 
Hii serikali ina ubabaishaji mwingi sana, kila sekta ni ujanja ujanja tu.
 
Ofisi tuna ambiwa zimefungwa kwa sababu ya corona Mkuu, au wanafuatilia mkutano wa chama chao cha CCM huko?
kwani corona iko NIDA tu wao wangesema wamefunga kwa sababu hawana fedha za kujiendesha hapo hats DonNalimison angewaelewa
 
kwani corona iko NIDA tu wao wangesema wamefunga kwa sababu hawana fedha za kujiendesha hapo hats DonNalimison angewaelewa
Ujanja ujanja mwingi sana kwenye hii serikali, kuanzia kwa "malaika mkuu" hadi huko chini.
 
Nida kuna zimwi litishslo kuliko lugumi.

Simbachawene kaingia kwa ahadi za kushughulikia keroza vitambulisho vya uraia,lakini hadi leo kimyaaaa!

Tatizo la nchi hii, Magufuli akinyamaza na wateule wananyamaza,na tena siyo kunyamaza tu, wanalala usingizi kabisa!

Akifoka, ndiyo wanakurupuka kama wanazindukana na usingizi wa arosto ya madawa ya kulevya!

Waziri angelikuwa na dhamira ya kweli kumaliza kero hii, nadhani ingelikuwa imekwisha sasa kutokana na alivyoahidi alipokuwa akipokea ofisi toka kwa Lugola.

Haiwezekani ishu ikachukua zaidi ya miaka minne bila ufumbuzi wa maana, raia wanabakia na namba electronically bila vitambulisho(hard copy).

Hapo kuna zimwi zaidi ya lugumi ambalo na chawene lishamvaa, hafurukuti.

Vinginevyo angelikuwa anatoa update ya mchakato mzima unavyoendelea.
 
Wakuu, Mamlaka ya NIDA imeorodhesha namba hizi kwaajili ya mawasiliano kwa sisi wateja wao wenye changamoto mbali mbali kutokana URASIMU wao;

0752 000058, 0677 146667, 0777 740008, na 0735 201020.
Jambo la kushangaza na KUUDHI, namba hizo kila ukipiga simu HAZIPOKELEWI wala kujibiwa chochote. Kuna nini huko NIDA? Kwanini mnatufanyia UHUNI wa namna hii?

Kama shughuli zenu zimefungwa rasmi mtoe taarifa ili tujue cha kufanya kuliko kutuchezea akili namna hii.
Hawa jamaa hupokea wakijisikia halafu hutoa majibu kama wanalazimishwa.
 
Back
Top Bottom