Wana Jamvi habarini za kazi.
Nimefika hapa Arusha wiki moja iliyopita katika kufanya maandalizi ya safari na jamaa zangu. Kwa masikitiko sana jamaa yetu mmoja anayefanya kwenye taasisi moja hapa Arusha anaelekea kukwama kwa kukosa passport kiini cha tatizo kikiwa ni madudu ya Uongozi wa NIDA Arusha. Nimelifuatilia hili suala kwa karibu nikaona mambo mengi yanayofanywa na ofisi ya NIDA Arusha ambayo kuyafumbia macho si rahisi.
Hatuwezi kunyamaza tunapoona ofisi zinazoendeshwa kwa kodi zetu, zikiendeshwa kama idara za familia. Kuendelea kufumbia macho uchafu kama niliouona ni kuhalalisha mfumo unaotugharimu Watanzania wa kutokuwa na uwajibikaji na watu kutumia madaraka kwa utashi wao huku wakihujumu haki za kiraia za watu wengine.
Niaomba mwenye mawasiliano ya kiongozi wa juu wa NIDA asiyekuwa mchaga, anitumie ili niwasiliane naye. Sitaki kuweka hapa undani wa nilyoyakuta hapa kwa sababu naogopa kutoa mwanya kwa wahusika kuharibu ushahidi. Ninataka matatizo hayo yabaki kama yalivyo ili vyombo vinavyohusika vijionee na kuweza kuchukua hatua sahihi za kukomesha hizi tabia za matumizi mabaya ya madaraka ikiwa ni pamoja na unyanyasaji wa wananchi katika kupata haki zao za kiraia.
Narudia kusema, nainaomba mawasiliano ya Simu ya kiongozi wa juu wa NIDA asiyekuwa Mchagga, nikiwa na maana kamili ili niwasiliane naye juu ya hali iliyopo, kabla sijalifikisha hili suala kwenye vyombo vingine.
TUMECHOKA. NI WAKATI WA WATANZANIA KUDAI HAKI ZAO MCHANA.
Nimefika hapa Arusha wiki moja iliyopita katika kufanya maandalizi ya safari na jamaa zangu. Kwa masikitiko sana jamaa yetu mmoja anayefanya kwenye taasisi moja hapa Arusha anaelekea kukwama kwa kukosa passport kiini cha tatizo kikiwa ni madudu ya Uongozi wa NIDA Arusha. Nimelifuatilia hili suala kwa karibu nikaona mambo mengi yanayofanywa na ofisi ya NIDA Arusha ambayo kuyafumbia macho si rahisi.
Hatuwezi kunyamaza tunapoona ofisi zinazoendeshwa kwa kodi zetu, zikiendeshwa kama idara za familia. Kuendelea kufumbia macho uchafu kama niliouona ni kuhalalisha mfumo unaotugharimu Watanzania wa kutokuwa na uwajibikaji na watu kutumia madaraka kwa utashi wao huku wakihujumu haki za kiraia za watu wengine.
Niaomba mwenye mawasiliano ya kiongozi wa juu wa NIDA asiyekuwa mchaga, anitumie ili niwasiliane naye. Sitaki kuweka hapa undani wa nilyoyakuta hapa kwa sababu naogopa kutoa mwanya kwa wahusika kuharibu ushahidi. Ninataka matatizo hayo yabaki kama yalivyo ili vyombo vinavyohusika vijionee na kuweza kuchukua hatua sahihi za kukomesha hizi tabia za matumizi mabaya ya madaraka ikiwa ni pamoja na unyanyasaji wa wananchi katika kupata haki zao za kiraia.
Narudia kusema, nainaomba mawasiliano ya Simu ya kiongozi wa juu wa NIDA asiyekuwa Mchagga, nikiwa na maana kamili ili niwasiliane naye juu ya hali iliyopo, kabla sijalifikisha hili suala kwenye vyombo vingine.
TUMECHOKA. NI WAKATI WA WATANZANIA KUDAI HAKI ZAO MCHANA.