Nice wa tilisho posho yake shilingi ngapi?

Sahihi kabisa, kukaa kimya inakuepisha na mengi hususan kutukanana na watoto wako humu
Mkuu huyu dogo sana hawez kuwa na mtoto wa kuingia jf amemaliza chuo 2019 na ajira kapata 2021 mama alivo ingia madarakan amepagwa huko Lindi

Huyo dogo ni wa singida nimecheza nae draft sana wakati yupo kwenye goli lake la kuuza mtumba wa nguo na viatu pale singida mjini mtaa wa karakana

Usifikir ni mkubwa wakati anapata ajira alikua hajaoa wala hakuwa na mtoto
 
Umefel bro
 
Sema dogo watu huwa wanamwandama sana facebook kisa eti hana matako makubwa, sijapenda kwa kweli. Bora hapa tunaweza kuwa tunaongea kwa kujenga.
Wabongo Wana roho mbaya sana.....ukikasikiliza kenyewe hakana shida maskini ya Mungu wala majigambo,kasema kabisa nimetoka familia ya chini, hivyo sikuweza kuendelea na shule,so inanibidi nipambane
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…