Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,326
- 2,230
Wadau sio kwamba sijui madhara yake,...najua sanaaaa!
Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha.
ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia ,....nipeni ujanja wa kuacha
"KUJICHUA" sijui kama naeleweka maana kitendo hiki kina majina mengi sana!
Kila napo maliza kujichua nahuzunika sana kwa kufanya hivo. :sad:
Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha.
ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia ,....nipeni ujanja wa kuacha
"KUJICHUA" sijui kama naeleweka maana kitendo hiki kina majina mengi sana!
Kila napo maliza kujichua nahuzunika sana kwa kufanya hivo. :sad: